Muwa mtamu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 847
- 1,599
Wakristo mnadhalilisha Yesu, mmeja hofu ya mapepo sijui kwanini, ona hii ngiriš¤£Hasira za nini? Analilia pesa za nani?
Kama wewe ndio hayo mapepo shindwa kwa jina la Yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakristo mnadhalilisha Yesu, mmeja hofu ya mapepo sijui kwanini, ona hii ngiriš¤£Hasira za nini? Analilia pesa za nani?
Kama wewe ndio hayo mapepo shindwa kwa jina la Yesu
Ni busara kuwafukuza watu wako wa karibu ambao wamesemewa jambo baya DHIDI Yako wakati wewe unawajua vizuri kuliko wale wanaowasema!?mfano ukiambiwa mkeo/mumeo amekufanya uwe kichwa mgumu ,husikii Wala hushauriki,ili kurejesha hadhi Yako utamfukuza kwenye maisha Yako!? Na ukweli unaujua wewe hapokitu ambacho sikuelewa ni hiki, anasema kuna mchungaji mmoja ambaye ni mwanamke, alikuwa kiongozi mkubwa wa TLP pale Makambako na Mbeya, huyo alikuwa na imani ya kishetani na aliwaingiza wao. ni nani huyo?
kama waliingia kwenye imani hiyo, na dadake huyo akarudi kumshukuru na kuungana na imani hiyo, alishoaondoka? nyimbo anazoimba yupo chini ya huyo mungu wake na imani potofu au alishaokoka sasa?
binafsi nawajua walivyoanza hao mabinti, hali ya umasikini wanayoisema ni kweli, alipokuwa anaanza kabisa, Martha alishawahi kuja kanisani kwetu, alikuwa mwembamba, mweusi, anayeonekana kama ametoka uwanja wa fisi fulani hivi, nguo alizovaa ilikuwa kasketi ka mtu masikini kale ka sagulasagula mitumba na ka tshirt keupe ka mtumba sidhani kama hata kufua alikuwa amefua. maana ilionekana ni kauka nikuvae. alikaribishwa akaimba wimbo wake hata kabla hajarekodi. kama ni Mungu aliwainua, kweli Mungu anajua kuinua watu (kama nimjuavyo Mungu), ila shida inakuja, imekuwaje baada ya kupata pesa tayari wanavaa nguo za kubana, anazunguka na binti anayevaa taiti chafu, na wanazunguka naye, na kuna kashfa ya usagaji ambayo yeye hataki kujitenga nayo. si afukuze huyo binti ili kuondoa matope anayorushiwa? kwani huyo binti ana nini cha ziada hadi anasafiri naye kongo na kwengine na yote yanayosema juu yake? kwa nini tusiamini, na kwanini hamsaidii mdogo wake?OK tuseme mdogo wake alimchukulia ndoa au vyovyote (though wote walikuwa na ndoa na kwa wanyakyusa kulala na shemeji ni kawaida tu), basi amkumbuke mama yake ambaye alishakuwa hadi kichaa na aliwasaidia kuwakuza kwa shida hadi wakafika hapo.
umetumwa na bite eeh?Moja ya shuhuda nzito za kufunga mwaka,ni shuhuda za msaanii wa muziki wa injili Beatrice Mwaipaja akionesha vita vikali alivyokabiliana navyo na huenda ataendelea kukabiliana navyo dhidi ya ibilisi na majeshi yake.
Vita vikali mno lakini hatimae ninamtia moyo atashinda kwa jina ya Kristo kwani yeye Kristo alishinda vita hivi.
Niliwahi kumsikiliza Rose Mhando akisimulia vita vilivyomkabili hadi Mungu kwa njia ya Kristo Yesu kumshika mkono tena lakini kisa cha huyu Beatrice kimenilazimu niandike hapa.
Natamani nimwambie kuwa ,ijapo amefunguliwa kupitia mtumishi wa Mungu ambaye amemtaja kama baba yake wa kiroho,asije akaingia kwenye mtego mwingine wa imani yake kujengwa juu ya mtumishi yeyote hapa duniani.
Imani yake aijenge juu ya mwamba imara ambaye ni Kristo Yesu pekee.
Watoto wa Mungu wengi wameingia kwenye mtego wa ibilisi kwa kujenga imani zao juu ya watu ambao Mungu amewapa neema ya huduma mbali mbali za kiroho.
Wanasahau chanzo cha msingi wa wokovu ambaye ni Kristo Yesu. Na wengi wanamfanya Kristo Yesu kama namba mbili.Ila Mungu ni Mungu mwenye wivu mkubwa na sifa na utukufu ni vyake milele na milele Amima.
Soma Yohana 8:32 imeandikwa " Tena mtaifahamu kweli,nayo hiyo kweli itawaweka huru"
Uhuru kutoka vifungo vya giza,ni kuifahamu kweli.Ukiifahamu kweli,unawekwa huru.
Mungu baba,wa Yesu Kristo azidi kujifunua kwako.Naomba watumishi wa Mungu tutumie muda wetu kumuombea huyu dada ili asinase kwenye mitego ya hila ya ibilisi ambayo Mungu akikufunulia,utaogopa sana kwa kuwa huenda watumishi unaowaamini,ukagundua ni watumishi wa giza
Unapomwita ni "msanii wa Injili" unakosea sana...ni shuhuda za msaanii wa muziki wa injili Beatrice Mwaipaja
Kaachika tayari.Personal Beatrice ananivutia Sana,nimempenda...hivi kaolewa?
Kako poa sanaKaachika tayari.
Kako poa sana
Na Wewe mwenye tetesi za wao Kusagana zinzokuingia akilini utalipa, usishie kusema wenzio watalipaLazima Kuna jambo jamani.joan inasemekana ana wazazi wake na ndugu zake wengine alizaliwa nao.na kwao ni arusha.alikuja kama housemaid Kwa Martha mwaipaja.ghafla Kawa mwanae.hakuna picha joaana kaja akiwa mdogo kwamba alikua yatima kamuasili Bali alikuja akiwa mkubwa tu.
Tetesi za wao kusagana zinaniingia akilini.pale Kuna mtu na mpenzi wake sio mtu na mamake
But kama mnawazushia mtalilipa hili
Nitakaweza,kanifuate huku nje ya TzUtakaweza hako kanabii?
Watu wanaosifu kutoka rohoni. Even south africa kuna kwaya zinaimba acha kabisa.Gospel music industry ya Tz asilimia 90 imeshavamiwa na Ibilisi. Ndio maana niliacha kuwafatilia toka 2010. Gospel zangu ni Gaither vocal Band, Doen Moen, Carrie Underwood, Cece winans. Period.
Ni changamoto sana. Mungu atusaidie sana.Gospel music industry ya Tz asilimia 90 imeshavamiwa na Ibilisi. Ndio maana niliacha kuwafatilia toka 2010. Gospel zangu ni Gaither vocal Band, Doen Moen, Carrie Underwood, Cece winans. Period.
Kusagana ndio nini, hebu nielezee nielewe mkuu, yaani wanasagana kama blender inavyosaga matunda?Lazima Kuna jambo jamani.joan inasemekana ana wazazi wake na ndugu zake wengine alizaliwa nao.na kwao ni arusha.alikuja kama housemaid Kwa Martha mwaipaja.ghafla Kawa mwanae.hakuna picha joaana kaja akiwa mdogo kwamba alikua yatima kamuasili Bali alikuja akiwa mkubwa tu.
Tetesi za wao kusagana zinaniingia akilini.pale Kuna mtu na mpenzi wake sio mtu na mamake
But kama mnawazushia mtalilipa hili
Huyu alijichanganya kwa yule grandmaster wa kisongo akaporwa nyota akapewa gari š¤£šGoodluck gozbert yuko wapi?
Mi nashangaa sana wengi wenu mnapofikiri mtu akiimba kwaya mnadhani ameokoka na ni mtu wa ibada...Watu wanaosifu kutoka rohoni. Even south africa kuna kwaya zinaimba acha kabisa.
Bongo walitaka ku modernize gospel but shetani akapata upenyo mahali
Goodluck gozbert yuko wapi?
Dah šš , mambo mengi mjiniHuyu alijichanganya kwa yule grandmaster wa kisongo akaporwa nyota akapewa gari š¤£š
Ukimkuta mwanamke Yuko na mwanamke mwenzie Wana mahusiano ya kimapenzi wanachezeana michezo ya kama kufanya mapenzi ndoKusagana ndio nini, hebu nielezee nielewe mkuu, yaani wanasagana kama blender inavyosaga matunda?
Nasikia wakianza kusagana inakuwa uraibu...Ukimkuta mwanamke Yuko na mwanamke mwenzie Wana mahusiano ya kimapenzi wanachezeana michezo ya kama kufanya mapenzi ndo
unaitwa usagaji.