tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Halafu wanajifanya wanamtumikia mungu kumbe wagawaji tu,wasimbe sugu haoHivi hawa watu ktk hii tasnia kwanini woote ndoa zao zimekufa!?? Why!??
Hivi unaelewa ninachozungumzia Mimi?Mimi sijaongelea utunzi hapa,Mimi nimesifia uumbaji,ningetaka kusifia watunzi ningewataja hao unaowataka wewe........na nimesema mwanzo kabisa ananifurahisha ambavyo haongezi neno kwenye Tenzi wala habadilishi original tunes.Nasema hivi tena, hakunaga kama Rose Muhando hapa nchini, ukishasema Tenzi hizo siyo nyimbo zake huyo dada
Huo huo ujinga ndiyo mawazo yenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaah sijui Kwa Nini nimewaza ujinga
Kweli kabisa wengine ni mapambo ya wazazi wao.Sio kila mwanaume ni 'mwanaume'. Take note ma'am.
-Kaveli-
Kuna siku nilikuwa kwenye foleni kina dada wakawa wanajadiliana sikuwafahamu ni kina nani kuwa wanaume wengi wakiwataka wanaanza kuulizia mali, hati, sasa wakinyimwa ndiyo shida inaanzia hapo, kina dada kwasasa wana andika wazazi wao na hati zinaachwa hukoKama Kuna shida kidogo sio mbaya,yeye ni binadamu hawezi kosa madhaifu ....
Kugawa anaweza kugawa tu, kila siku viongozi wetu wadini wanafanya yao , lakini hatuachi kwenda kwenye madhabahu hizo, tuombeane tuHalafu wanajifanya wanamtumikia mungu kumbe wagawaji tu,wasimbe sugu hao
Meza imepinduka siku hizi, wanaume nao wamechangamka😅😅😅Kuna siku nilikuwa kwenye foleni kina dada wakawa wanajadiliana sikuwafahamu ni kina nani kuwa wanaume wengi wakiwataka wanaanza kuulizia mali, hati, sasa wakinyimwa ndiyo shida inaanzia hapo, kina dada kwasasa wana andika wazazi wao na hati zinaachwa huko
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
God bless u....Kugawa anaweza kugawa tu, kila siku viongozi tu wadini wanafanya yao , lakini hatuachi kwenda kwenye madhabahu hizo, tuombeane tu
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hatari sana😅Huo huo ujinga ndiyo mawazo yenyewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] hatari utasikia mwanamke huyu kiburi kumbe kanyimwa hati anataka eti aione jiulize yanini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Meza imepinduka siku hizi, wanaume nao wamechangamka[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwa hali hii utaliweza soko kweli?lishangazi la kienyeji hilo anaonekana ni mtamu😋
hahaa, pepo tokaa
Ogopa kitu kinaitwa financial freedom.Hii nayo inachangia mwanamke aonyeshe uhalisia wake.Mimi Shusho ndo ananiumiza kumuacha yule mume wake mtu mzima..kha..
eeh bhana lugha ya MBENGUNI🤣🤣🤣🤣Nikajua umeandika kilugha gani sijui kumbe lugha ya mbinguni!tisha sana!
😁😁😁 Mimi mbona nipo sema wewe nikikusalimia ndio unajitiaga uko bize leo sijui umepatwa na niniWe shangazi, heshima yako. Long time no see ya around... 😎
-Kaveli-