Beatrice Mwaipaja

Kijito cha utakaso aliua sana

Nkiskilizaga tu nakua wa rohoni kwel kwel 😁shida enyge zinanitoa upako
Yaani Mimi ni mpenzi sana wa tenzi,Sasa Kuna waimbaji huwa wananikera kutuunga tune mpya hazinibariki nataka tunes nilizoimba udogoni na mama yangu na bibi yangu, Sasa huyu ndio naenda nae sawa......Mimi alinimaliza pale kwenye "ni salama rohoni mwangu"
 
Hawa wanaobadiri tune ndio siwaelewagi kabisa ,Mimi mutu ya zamani na mhafidhina wa kanisa nataka zile za miaka ilee

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Dah 🤔🤔🤔 ngoja nimrudie Mungu utotoni hzo zote nlikuwa naimba bila hata kushika tenzi hasa huo wa ni salama rohoni mwangu
 
Ana mume au anaimbia umalaya tu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…