Tulisema ukiolewa baki na jina la baba Yako sijui Kwa Nini wanakaza fuvu,na washauri tunaitwa mafeminist uchwara🤣Yupo
Amerudi tena japo hasikiki kama mwanzo.
Zamani alikuwa anaitwa Neema Mushi,
Sijui baada ya mambo kwenda kombo akarudia ukoo wake Mwaipopo
Unamjua ila hujui kama ndo kaimba nyimbo hizoSijawahi msikia ntamsearch leo..i thought Beatrice Muhone naye anaimba vyedi
Unamjua ila hujui kama ndo kaimba nyimbo hizoSijawahi msikia ntamsearch leo..i thought Beatrice Muhone naye anaimba vyedi
Unamjua ila hujui kama ndo kaimba nyimbo hizoSijawahi msikia ntamsearch leo..i thought Beatrice Muhone naye anaimba vyedi
Dada yake kamzidi jina,ila anaimba vizuri na yeyeUnamjua ila hujui kama ndo kaimba nyimbo hizo
Wimbo wake common uliomfanya watu wengi waanze kumjua ni huu
Kumbe ni kwa Neema tu
View: https://youtu.be/iLZEvUaEWxY
UmechanganyaSijawahi msikia ntamsearch leo..i thought Beatrice Muhone naye anaimba vyedi
Nimekosea kuquote mtuHapana,hapa tunamzungumzia Beatrice Mwaipaja mdogo wake Martha Mwaipaja....
Tumepokea maua yetu kwa mikono minne kabisa 🙏😂Wanyakyusa wanaimba sana jamani....
Watu wenye sauti nzito always huwa sauti zao zinaenea sana kwenye wimboDada yake kamzidi jina,ila anaimba vizuri na yeye
Tumepokea maua yetu kwa mikono minne kabisa 🙏😂
Hao wanaimba mdomoni mioyo yao na matendo ni ushetani mtupu, unatakaje kwa mfano hata mie nshamla neno lake la chiniUsipomkashfu binadamu mwenzio hupati amani?
Kwa kweli na Mimi ndio muimbaji wangu pendwa....Kwa nyimbo za Tenzi, huwa nasikiliza nyimbo zake tu.
Dada yake Martha ana roho mbaya. Kuna kijana wa Kenya anaimba kwa sauti inayofanana naye.
Alimtafuta na kumpiga marufuku kuimba kwa sauti na tune yake. Nilidhani angemruhusu kwa ajili ya Utukufu wa Mungu.
Aisee!.
Unatoka kumsikiliza Beatrice mwaipaja alafu wingu likikaribia unaweka Boazi danken Haufananishwi kisha unamalizia na Abiud Misholi wewe ni Mungu❣️💞💥Na ndio sauti zao hizo
Unaniuliza natakaje kwani Mimi mwanasheria wake?utajijua mwenyewe na matatizo Yako ya kisaikolojia kutukuna watu usowajuaHao wanaimba mdomoni mioyo yao na matendo ni ushetani mtupu, unatakaje kwa mfano hata mie nshamla neno lake la chini
Anadhani huenda kijana atamshinda. Ukizingatia anaelekea uzeeni, kijana yaweza kubaki anang'ara.Kwa kweli na Mimi ndio muimbaji wangu pendwa....
Huyo Martha anakuwaje na roho mbaya wakati ana sura nzuri 😅😅?
yeye na Christina shusho ni wazuri ukweli usemwe😋Weweeee mbinguni utapasikia kwenye kwaya,unatamani Hadi watumishi?yaani huna tofauti na Gigy money au sio🤣