Hivi hawa watu ktk hii tasnia kwanini woote ndoa zao zimekufa!?? Why!??
Inatafsiri, kinachoimbwa ni maigizo tu ili maisha yaende na si kuyaishi yale tunayo yaimba.Hivi hawa watu ktk hii tasnia kwanini woote ndoa zao zimekufa!?? Why!??
Wangoni ni sayari nyinginewe.Sidhani kama wanawazidi wangoni kuimba, ila huwa sijui kwann wao wangoni hawatoi nyimbo za injili
Sababu moja ni hii huwa wanafika mahali wanajiinuaHivi hawa watu ktk hii tasnia kwanini woote ndoa zao zimekufa!?? Why!??
Huyo demu sio, tulikuwa nae dubai kipindi flani.. alizingua kinoma.. nikifunguka mazima mazima.. kama yupo ID yangu na mie huenda vikawa exposed kitaaa.. ila hafai hata kama wewe una hela unaweza piga tu.😬😬😬Alikuwa anakazwa na mkuu wazili wa zamani
Na wewe ushaichakataHuyo demu sio, tulikuwa nae dubai kipindi flani.. alizingua kinoma.. nikifunguka mazima mazima.. kama yupo ID yangu na mie huenda vikawa exposed kitaaa.. ila hafai hata kama wewe una hela unaweza piga tu.[emoji51][emoji51][emoji51]
hapana sijaichakata, ila kama una mawe unaichataka.. ni wewe kujiposition vizuri.. na kuonesha kibunda tu.. kama kuku kumuwekea mahindi 😅😅Na wewe ushaichakata
Daaah we fala umenichekesha sanalishangazi la kienyeji hilo anaonekana ni mtamu[emoji39]
hahaa, pepo tokaa
Aiseelishangazi la kienyeji hilo anaonekana ni mtamu[emoji39]
hahaa, pepo tokaa
Naam! Raha ya tenzi iimbwe kwa tune yake original. Nikiona mtu ameimba kwa tune yake tofauti naona kama ni mvivu wa kutunga mashairi hivyo anatumia tenzi hahahahahYaani Mimi ni mpenzi sana wa tenzi,Sasa Kuna waimbaji huwa wananikera kutuunga tune mpya hazinibariki nataka tunes nilizoimba udogoni na mama yangu na bibi yangu, Sasa huyu ndio naenda nae sawa......Mimi alinimaliza pale kwenye "ni salama rohoni mwangu"
Dah!... hayo ndio tunaita ' mapungufu ya kibanadamu' ?Huyo demu sio, tulikuwa nae dubai kipindi flani.. alizingua kinoma.. nikifunguka mazima mazima.. kama yupo ID yangu na mie huenda vikawa exposed kitaaa.. ila hafai hata kama wewe una hela unaweza piga tu.😬😬😬
haya sio mapungufu mkuu, ni mtu kaamua kuwa hivyoDah!... hayo ndio tunaita ' mapungufu ya kibanadamu' ?
Ila mkuu hakuna mkamilifu asilimia zote, kila mtu ana 'weakness' hata kama ni ndogo lakini ipohaya sio mapungufu mkuu, ni mtu kaamua kuwa hivyo
ni kweli kuna madhaifu kuna maamuzi, mfano kutapeli mtu .. hayo ni maamuzi tu.. mwisho wa siku kila mtu atakuwa na hesabu zakeIla mkuu hakuna mkamilifu asilimia zote, kila mtu ana 'weakness' hata kama ni ndogo lakini ipo
Dah jamani kama hiyo sura ya bite ni sura ya baba basi wewe uzuri kwako lazima kiwe kiwango Cha malaikaAmejaaliwa uzuri wa sura?!! Mmmh!!
Muono wangu unanitaarifu kuwa Beatrice ana 'sura ya baba'.
By the way, napenda kazi zake.
My fav from her:
Mfikishie salaam Beatrice kwamba napenda awe dada yangu wa hiari.
- ACHA MUDA UONGEE;
- MUNGU UMENIHURUMIA;
- MWAKA WANGU.
-Kaveli-