Utapeli kwelikweliKaachana naye kitambo..anasema anasikiliza inner voice ya kumtumikia Mungu..eti oh Mungu alitaka afungue kanisa..ikabidi ajitoe kwa hali namali.
Dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapeli kwelikweliKaachana naye kitambo..anasema anasikiliza inner voice ya kumtumikia Mungu..eti oh Mungu alitaka afungue kanisa..ikabidi ajitoe kwa hali namali.
Dah
Mnyakuusa na mmachame wapi na wapi?! Maji na mafuta.Ni zamani sana
Kabla hamjamjua kwa jina la Mwaipopo alikuwa anaitwa Neema Mushi
Ngoyoi?! Hata Betreace Mhone ilisemekanaga kitu yake.Alikuwa anakazwa na mkuu wazili wa zamani
Narudia tena hata kama una jaziba za kipuuzi, hakunaga kama MuhandoHivi unaelewa ninachozungumzia Mimi?Mimi sijaongelea utunzi hapa,Mimi nimesifia uumbaji,ningetaka kusifia watunzi ningewataja hao unaowataka wewe........na nimesema mwanzo kabisa ananifurahisha ambavyo haongezi neno kwenye Tenzi wala habadilishi original tunes.
Ngada isingepita nae hapo kati angekuwa mbali sana muda huuHakunaga kama R Muhando hapa nchini
Vijana zingatieni masomo[emoji1787]
Mpaka wanapata kansa ya kooWanyakyusa wanaimba sana jamani....