Usijali mkuu, tuliosoma hicho kitabu enzi hizo ndani kilimaanisha " A Man Of The People".[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115]
Kha kidogo umtie mwana jakamoyoUsijali mkuu, tuliosoma hicho kitabu enzi hizo ndani kilimaanisha " A Man Of The People".
Ndio hivyo mtani pole maana hamna namna tena msije kuwa kama sungura kuchoka hata mkia.Sante sana mshana jr
Nimeona tu umewapa pongezi za dhati watu wakajistukia kama uchochezi vile ooh mara nilidhani ya matokeo ya flan yote wana weweseka tupo pale mbele hongera dada /shemeji.Upo shimo gani Mkuu?Hujui Yanga anaongoza ligi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Roho inakuumaje sasa?
[emoji87] [emoji87] [emoji15] [emoji14] [emoji25] [emoji25] [emoji115] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Binafsi i wish to meet you Mshana JR lakini nikikufikiria nakuogopa sana we mtu naona ka upo hii sayari kwa bahati mbaya.
Inaongoza ligi au inaongozeshwa ligi,unakeraUpo shimo gani Mkuu?Hujui Yanga anaongoza ligi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Roho inakuumaje sasa?
Hahahahahaaaaa halafu siku hizi unapotea sana mkuu.Nimeona tu umewapa pongezi za dhati watu wakajistukia kama uchochezi vile ooh mara nilidhani ya matokeo ya flan yote wana weweseka tupo pale mbele hongera dada /shemeji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] I bet jana umelala na viatu mtani,pole sana.Inaongoza ligi au inaongozeshwa ligi,unakera
Nilivo mbea natamani kujua namie[emoji101]Halafu Mkuu mshana kuna kitu uliwahi kusema kuhusu mimi na Bold sijui unakumbuka?
Nilitaka kukutafuta PM nikasahau [emoji85]