"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

"Bebi niazime gari leo, nina mizunguko flani". Hiki kikombe mnakiepukaje wadau?

Hahah,af sasa mim,nna madem weng bro,ungenifaham ungekuja toa ushahid hapa,nadhan hata hum jf wanafaham hilo,maana hua muwaz kuwaongelea madem zangu hum jf..hahah,..na hata sku1 siwez tafta dem hum mkuu,..mi nachkua madem instagram,na nna watom.ba kwel si utan
Samahani mkuu,Eti una undugu na Lemutuz ??,
maana kuna kitabia fulani nimekiona mmefanana
 
Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.

Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.
sasa hapo hayo magari unatumia vigezo gani kuangalia bei na ilihali sio shindani?
 
Wakuu,niko katka mtihan mkubwa mno, mi hua siwapi mademu zangu ndinga hata siku moja na kwanza ni mara chache nimemskia demu anaomba ndinga kwangu,

Sasa nina huyu demu ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile ,leo ananambia anaomba ndinga,et yaani nakujikausha kote huko sikuzote sijawahi endesha gari yako,..kiukwel mimi kuhusu swala la kumpa ndinga demu ni hua haiwezekani,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.

Enzi hizo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakini imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1

Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
Mkuu mpe tu mm mbona nimempa ana enda nayo job daily mm natumia nyingne tu

Ila hajui kama ina kamera naimonitor kila kinachoendelea
 
Siazimi Gari kwa MTU. Na hats awaye yeyote yule siwezi kumwazima Gari langu. Labda niombe lift au aniombe lift.
 
Hivi wanawake waomba magari mnawatoaga wapi?
bora akwambie umsaidie kununua ...kuomba Gari ni ishara ya tamaa iliyokata tamaa
 
Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim
Jitahid watakuzika navyo kaburin, kuna yatima, walemavu ,wajane na makundi mengne yanayohitaji msaada,
 
Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim
Ila kuazima kiukweli inaumiza maana Mimi kuna jamaa aliazima Gari yangu ndo kwanza nimeinunua ina miezi mitano akaenda kuendeshea masifa ikambinua na show ya mbele yote ikabondeka balaa,issue ya kuazimisha mkuu ni kweli siyo vizuri maana jamaa hakuwa na hela kabisa hata kuivuta kutoka eneo la tukio mkwanja ulionitoka mpaka sina hamu kabisa!!
Usimpe mkuu mnyime tu.
 
Mkuu acha tu,kuna jamaa yangu nilimwazima.. alikula buyu. Hadi Leo anasema atanilipa.. kifupi simpi tena yeyote yule mkuu,hata la mtu sitaki hata kuomba..
 
Back
Top Bottom