Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mkuu,Eti una undugu na Lemutuz ??,Hahah,af sasa mim,nna madem weng bro,ungenifaham ungekuja toa ushahid hapa,nadhan hata hum jf wanafaham hilo,maana hua muwaz kuwaongelea madem zangu hum jf..hahah,..na hata sku1 siwez tafta dem hum mkuu,..mi nachkua madem instagram,na nna watom.ba kwel si utan
sasa hapo hayo magari unatumia vigezo gani kuangalia bei na ilihali sio shindani?Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.
Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.
Mkuu mpe tu mm mbona nimempa ana enda nayo job daily mm natumia nyingne tuWakuu,niko katka mtihan mkubwa mno, mi hua siwapi mademu zangu ndinga hata siku moja na kwanza ni mara chache nimemskia demu anaomba ndinga kwangu,
Sasa nina huyu demu ambae namla mla ofcoz.sio dem kiviile ,leo ananambia anaomba ndinga,et yaani nakujikausha kote huko sikuzote sijawahi endesha gari yako,..kiukwel mimi kuhusu swala la kumpa ndinga demu ni hua haiwezekani,bora nimpe dume mwenzangu,..na tena ni nadra sana,labda awe ndugu yangu,..sio ushamba,ndo nilivyo,..namii pia kuendesha ndinga ya mtu hapana,.
Enzi hizo ndinga ya kwanza nilijuaga labda ni ushamba,lakini imeendelea hii tabia kwa ndinga zote nilizowai miliki,...sasa huyu dada kwakwel naona hanijui,na uhusiano uishe tuu ila hii ndinga siwez mpa hata sku1
Samahanin wakuda,najua mtakuja sema ooh ,so unatuambia tujue una ndinga,yes nna mandinga tena,sio ndinga.
Dah bora umeliona hilo mamaa, hili jamaa choyo tu kinamsumbua halafu sio tabia ya kiume hio.Ukiwa na mwanaume mchoyo,mbinafsi vitu vidogo vinamto roho
Hamnaga Toyota Lexus kiande wewe,,, hebu kasome vizuri!Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.
Toyota Lexus lx 570 ina thamani kubwa kuliko range velar.
Huyo jamaa kolo tu,,,ana kijipaso cha mkononi mwa mtu kadunduliza million 3 ndio anataka kuleta dharau humu!Wewe una mandinga halafu unalalamika uchumi uko wapi?
We jamaa nyo.ko sana hahahahaaa, kimejikuta nacheka mwenyewe kwa sautimwambie aende kwa Ally Kiba ye anamandinga mapya na kila mmoja anampa
Wanawake tumebarikiwa upendo.Ingekua dada ndo ana gari mwanaume anaazima am sure angempa as long as anampenda...mtoa mada hujampenda tu uyo mwanamke
Hivi urithi ulimwandika nani?mie hoi taaban
Jitahid watakuzika navyo kaburin, kuna yatima, walemavu ,wajane na makundi mengne yanayohitaji msaada,Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim
Ila kuazima kiukweli inaumiza maana Mimi kuna jamaa aliazima Gari yangu ndo kwanza nimeinunua ina miezi mitano akaenda kuendeshea masifa ikambinua na show ya mbele yote ikabondeka balaa,issue ya kuazimisha mkuu ni kweli siyo vizuri maana jamaa hakuwa na hela kabisa hata kuivuta kutoka eneo la tukio mkwanja ulionitoka mpaka sina hamu kabisa!!Mkuu,mi ni m1 ya watu ambao nna his nna ugonjwa wa ku perfect vtu,yaan mim naweza nkakuonyesha simu yangu niliyotumia nkiwa form 6,na usiamin jins navyotunza vtu,..mi nna viatu vyangu vya first yr chuo had leo,ila sivivai etc etc,yaan mi ni mtunzaj wa vtu balaa,..nmerith kwa mama angu,..so nahis atabonda bonda gar,yaan siwez mkuu,...hii ni kutoka moyon,..bora awe dume ila sio mdada,tena unakuta hajaendesha gar ana mda so anajikumbushia kwenye ndinga uliyoitunza na ikatunzika.assee,hapana,si mim