Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Mbona ameshamjibu sasa.hapa hakuna maharage wala njegere na malezi na makuzi. Shishi na V money ni kama maji na mafuta. Sina wa kumlaumu hapa. Shishi ni kitu kingine na V money habari nyingine. Shishi haelewi ndio maana kabwabwaja IG, nina imani Vmoney hatanyanyua mdomo wake.
Kukokozwa ndio nini mkuu.[emoji16] [emoji16]Wanagombania kukokozwa ndindindi
nimem down grade v money kwa hilo... angekaa kimya ningeuona wa maana...Mbona ameshamjibu sasa.
Wote wale wale.
Hapa ndio tujue kuna reason behind,nimem down grade v money kwa hilo... angekaa kimya ningeuona wa maana...
Haaa haa haa haa bonge la point umetoa mkuuHuyo Shishi Mpumbavu,
Vanessa Mpumbavu,
Wanaomshambulia Shishi Wapumbavu,
Coz badala ya kujua chanzo ni nini watu wanarukia mara level, mara elimu, mara kingereza,
Mnasahau kua huyo asiye na elimu na huyo mwenye elimu wote wanafanya kazi moja, wanameng'enyua viuno ndio wale.
Shilole karecord video,
Vanessa nae kamjibu,
So mpumbavu kamjibu mpumbavu kwenye upumbavu.
Na wewe mtoa mada leta mambo yaliyokamilika ndio tujue tunahukumu vipi.
Hapo ndoo tutaanza kuona great thinkers wakijisajili kwenye Team Shilole na Team Vanesa .Kabla hamjashika upande inabidi tujue sababu ya shishi kusema hvy COz hata kama Ana shida zake sidhani kama ameamka tu na kusema hayo
Huwez jua vee kasema nn mpk ukamuudhi
wanamgombania Dick-sonBei ya mkaa na sugar
Shishi kama kafanya hivyo kazingua..Vanessa ni moja ya wasanii wakike wasio na makuu kabisa..Ukimsikiliza kwenye mahojiano yake mengi utagundua hilo..Na mara nyingi uwa anatoa support kwa wanawake wenzake..Huyu Shishi sijui amekula maharage gani
Nimetoka kutazama akaunti ya instagram ya Shilole anatoa maneno mabaya kwa Vanessa.
Mashabiki wanahisi anamshambulia Vanessa Mdee japo hajanyoosha maelezo.
Nilichokiona sijawahi kukiona instagram kwa muda mrefu.
Team zote zimeungana kumnyoosha Shilole kwa kumkosea adabu Vanessa. Team Diamond, Wema, kiba, Zari, Anaconda wote wameunganisha nguvu kumpigania V money.
Hii inaonyesha ni namna gani Vanessa anaheshimika na makundi yote na inatoa image nzuri sana kwa msanii kibiashara na kijamii.
Big up kwake hii sio rahisi kwa msanii zama hizi kukubalika na wote
Kuna maelezo yanayokinzana kuhusiana na sababu iliyowafanya wawili hao waingie kwenye ugomvi.