BEEF: Vanessa Mdee na Shilole hali ni tete

BEEF: Vanessa Mdee na Shilole hali ni tete

hapa hakuna maharage wala njegere na malezi na makuzi. Shishi na V money ni kama maji na mafuta. Sina wa kumlaumu hapa. Shishi ni kitu kingine na V money habari nyingine. Shishi haelewi ndio maana kabwabwaja IG, nina imani Vmoney hatanyanyua mdomo wake.
Mbona ameshamjibu sasa.
Wote wale wale.
 
Huyo Shishi Mpumbavu,
Vanessa Mpumbavu,
Wanaomshambulia Shishi Wapumbavu,
Coz badala ya kujua chanzo ni nini watu wanarukia mara level, mara elimu, mara kingereza,
Mnasahau kua huyo asiye na elimu na huyo mwenye elimu wote wanafanya kazi moja, wanameng'enyua viuno ndio wale.

Shilole karecord video,
Vanessa nae kamjibu,
So mpumbavu kamjibu mpumbavu kwenye upumbavu.

Na wewe mtoa mada leta mambo yaliyokamilika ndio tujue tunahukumu vipi.
 
nimem down grade v money kwa hilo... angekaa kimya ningeuona wa maana...
Hapa ndio tujue kuna reason behind,
Shishi asingekurupuka tu lazima kuna chanzo na V.money asingemjibu shit,
Lazima anajua chanzo.
 
Huyo Shishi Mpumbavu,
Vanessa Mpumbavu,
Wanaomshambulia Shishi Wapumbavu,
Coz badala ya kujua chanzo ni nini watu wanarukia mara level, mara elimu, mara kingereza,
Mnasahau kua huyo asiye na elimu na huyo mwenye elimu wote wanafanya kazi moja, wanameng'enyua viuno ndio wale.

Shilole karecord video,
Vanessa nae kamjibu,
So mpumbavu kamjibu mpumbavu kwenye upumbavu.

Na wewe mtoa mada leta mambo yaliyokamilika ndio tujue tunahukumu vipi.
Haaa haa haa haa bonge la point umetoa mkuu
 
Kabla hamjashika upande inabidi tujue sababu ya shishi kusema hvy COz hata kama Ana shida zake sidhani kama ameamka tu na kusema hayo
Huwez jua vee kasema nn mpk ukamuudhi
Hapo ndoo tutaanza kuona great thinkers wakijisajili kwenye Team Shilole na Team Vanesa .

Yaani Great thinker pembeni ya ID yako Mods wamekupa U JF EXPERT MEMBER unajiita
team ......
mhhhh hapo kazi ipo.


Maoni yangu
Nadhani kuna haja ya hizi team kuzisajili ligi kuu ya vodacom.
 
61cd8816f92ad92fa696fc57fba25c07.jpg
shishi toka aachene na mziwanda.Kapoteza muelekeo.
Shishi kama kafanya hivyo kazingua..Vanessa ni moja ya wasanii wakike wasio na makuu kabisa..Ukimsikiliza kwenye mahojiano yake mengi utagundua hilo..Na mara nyingi uwa anatoa support kwa wanawake wenzake..Huyu Shishi sijui amekula maharage gani
 
Kifanyike nini wasanii wa Tanzania wawe na Upendo kati yao na kusaidiana.
 
Wamepatana lini? Shishi kasema atamdunda vanessa jumapili. Mi nasubiri kuona ngumi tu!
 
Ha ha ha ha.. Niliona zile clip za video zao wakichimbana beat ikabidi nicheke sana.. Yaani unaona kabisa hapa wanatafuta kick & publicity.. Sadly kuna watu wanaamini..
 
Mmmmhh nadhani vmoney alishavuka hiyo stage ya kutafuta kiki
 
Apanga kumuharibia kwenye shoo yake itakayofanyika hivi karibuni
 
Muwe mnaeleza vizur wakuu...nani na kapanga kumualibia nani na ktk shoo ipi??
 
Nimetoka kutazama akaunti ya instagram ya Shilole anatoa maneno mabaya kwa Vanessa.

Mashabiki wanahisi anamshambulia Vanessa Mdee japo hajanyoosha maelezo.

Nilichokiona sijawahi kukiona instagram kwa muda mrefu.

Team zote zimeungana kumnyoosha Shilole kwa kumkosea adabu Vanessa. Team Diamond, Wema, kiba, Zari, Anaconda wote wameunganisha nguvu kumpigania V money.

Hii inaonyesha ni namna gani Vanessa anaheshimika na makundi yote na inatoa image nzuri sana kwa msanii kibiashara na kijamii.

Big up kwake hii sio rahisi kwa msanii zama hizi kukubalika na wote


Kuna maelezo yanayokinzana kuhusiana na sababu iliyowafanya wawili hao waingie kwenye ugomvi.
 
Back
Top Bottom