Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Mbona ameshamjibu sasa.hapa hakuna maharage wala njegere na malezi na makuzi. Shishi na V money ni kama maji na mafuta. Sina wa kumlaumu hapa. Shishi ni kitu kingine na V money habari nyingine. Shishi haelewi ndio maana kabwabwaja IG, nina imani Vmoney hatanyanyua mdomo wake.
Wote wale wale.