samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Kingejulikana chanzo ndio unakuwa na usahihi wa kumlaumu mtu,lakini kama hujui kisa chao unamlaumu vipi Shishi beibi kama anakosea, labda (v.money) alimzingua kimya kimya kwenye makutano yao unajuaje....... ( wahenga wanasema wakimya ndio wanakuwaga na mtukio ya ajabu sana)