Jay Moe kwenye nyimbo ya Jipange kuna line anasema "amani kaka voda milionea, mwambie mdogo wako aache poda ale mmea" akimchana Langa. Langa nae kwenye nyimbo yake ya Gangster kuna line anasema " amani kwa kaka voda milionea mwambie mo aache ushoga na umbea" kwenye nyimbo ambayo langa alitangaza kuacha poda sina uhakika na jina jina kifo, jela. Langa ananmstari "amani kwa kaka voda milionea, mwambie mo nishaacha poda na pia sili mmea"mkuu hivi beef ya Langa na Jaymoo ilisababishwa na nini hasa au ni baada ya Jaymoo kutaja majina ya ya wasanii wanaotumiaa Sembe??
Jay Moe kwenye nyimbo ya Jipange kuna line anasema "amani kaka voda milionea, mwambie mdogo wako aache poda ale mmea" akimchana Langa. Langa nae kwenye nyimbo yake ya Gangster kuna line anasema " amani kwa kaka voda milionea mwambie mo aache ushoga na umbea" kwenye nyimbo ambayo langa alitangaza kuacha poda sina uhakika na jina jina kifo, jela. Langa ananmstari "amani kwa kaka voda milionea, mwambie mo nishaacha poda na pia sili mmea"
hha nilikua sijaelewa na mimi lols
wanamwita fast jetkwa sabau hatulii kila siku safari!
beef la dudu baya na mr nice lina siri nzito sana ndani yake...
beef la dudu baya na mr nice lina siri nzito sana ndani yake...
mkuu hivi beef ya Langa na Jaymoo ilisababishwa na nini hasa au ni baada ya Jaymoo kutaja majina ya ya wasanii wanaotumiaa Sembe??
Ivi jide na ray c haziivagi eeh? Maan sijawah kusikia wakiwa wote japokuwa waliwah kushirikiana kweny nyimbo moja iv
baba rizmoko
beef la dudu baya na mr nice lina siri nzito sana ndani yake...
Mbasha vs flora
Eeh wabongo kwa kutunga maneno ya ajabu na uchawi tunaongoza, aya uyo fast jet ndo nani? Yan nimecheka kiama