Beef Zilizowahi kutikisa tasnia ya Bongo Fleva

mkuu hivi beef ya Langa na Jaymoo ilisababishwa na nini hasa au ni baada ya Jaymoo kutaja majina ya ya wasanii wanaotumiaa Sembe??
Jay Moe kwenye nyimbo ya Jipange kuna line anasema "amani kaka voda milionea, mwambie mdogo wako aache poda ale mmea" akimchana Langa. Langa nae kwenye nyimbo yake ya Gangster kuna line anasema " amani kwa kaka voda milionea mwambie mo aache ushoga na umbea" kwenye nyimbo ambayo langa alitangaza kuacha poda sina uhakika na jina jina kifo, jela. Langa ananmstari "amani kwa kaka voda milionea, mwambie mo nishaacha poda na pia sili mmea"
 

langa alikuwa akitumia neno "dogo" badala ya "mo".
 
mkuu hivi beef ya Langa na Jaymoo ilisababishwa na nini hasa au ni baada ya Jaymoo kutaja majina ya ya wasanii wanaotumiaa Sembe??

J-MOE : Amani kwa kaka voda millionaire,waambie wadogo zako waache poda wale mmea.

LANGA(response) : Amani kwa kaka voda millionaire, mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea.

LANGA(confession): Amani kwa kaka voda millionaire,mwambie Moe nimeacha kula poda pia sili mmea.
 
Niki wa pili vs Nikki Mbishi

Weusi coy vs Tamaduni Music
 
Ivi jide na ray c haziivagi eeh? Maan sijawah kusikia wakiwa wote japokuwa waliwah kushirikiana kweny nyimbo moja iv

Msanii gani ambae umeshamuona akiwa pamoja na Jide zaidi ya Pro Jay? Jide hanaga time na wasanii wenzake anaishi kisuperstaa.
 
Msanii gani ambae umeshamuona akiwa pamoja na Jide zaidi ya Pro Jay? Jide hanaga time na wasanii wenzake anaishi kisuperstaa.

mhhh Hapa ngoja mitafanya ka-utafiti ina maana hata wasanii wa kike hakuna rafiki yake kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…