bily
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 8,029
- 5,796
Ni kweli mkuu RIP FATHER P.
Hizo ni bifu za Bongo Flava,hamjazungumzia bifu za Hip Hop,bifu za maana zilikuwa arusha,Waturutumbi,Watengwa chini ya Umbwa Jombii Chindo man,N2N na River camp sojaz.Wategwa walikuwa wanakaza sana na uzalendo wa Arusha yao