Beginners: Tujifunze kufanya Diagnosis ya Magari wenyewe kabla hatujaenda Gereji!

Beginners: Tujifunze kufanya Diagnosis ya Magari wenyewe kabla hatujaenda Gereji!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Habari wakuu.
images (4).jpeg

Kwa wamiliki wa magari au wenye interest na magari, leo tuongee kidogo kuhusu kufanya Diagnosis, ikiwa kama moja ya njia ya kufanya maintenance (preventive maintenance).

Nadhani wengi tumewahi kusikia hii term OBD ambayo ni kirefu cha on-board diagnosis.
images (5).jpeg

Sasa tukienda gereji, mafundi wanaonganisha kifaa flani (Scanner) kwa waya au Bluetooth au wifi kwenye gari kisha wanapata access ya baadhi ya information/status za gari na kujua ni system gani haifanyi kazi au ina matatizo, ili waifanyie marekebisho.

Hatutaongelea sana science behind hii process ila tujaribu tu kugusia kuhusu hivi vifaa (scanners) na jinsi vinavyoweza kutusaidia kama njia moja wapo ya kutunza gari.
images (6).jpeg

Magari yote yaliyotengenezwa kuanzia mwaka 1996 yamekuja na connector ya OBD-II, inayopatikana chini ya steering, na kupitia hii connector utaunganisha na scanner yako uweze kupata access ya information za gari.
images (7).jpeg

Kwahiyo kupitia kifaa chako, utaweza kupata taarifa za engine za gari, transmission, emissions, live data, sensors status, nk.

Kwa Mifano:

Mimi nilikua natumia sana kwenye BMW E90 hapo zamani, issue za water pump failure, misfires, nk nilikua nazisolve kabla hazijawa kubwa.

images (2).jpeg


(Hiyo pichani ni Innova 3160 nakumbuka nilinunua approx 800k kwaajili ya BMW)

Kwa sasa naitumia kujua status ya DPF imejaa kiasi gani, umbali unaotakiwa kufanya regeneration nk.
images (3).jpeg

(Hiyo juu ya blue ni ELM 327 scanning tool ya Bluetooth, nilinunua kama elfu 16 hivi naitumia kwa Mazda)

Hapo kusema machache.

Ila pia zikitokea dashboard signs kama Check Engine au Vehicle Malfunction au sign yoyote itakusaidia kujua chanzo cha iyo sign, na kama imetokea bahati mbaya tu unaweza ukaifuta kisha ukasubiri uone kama itatokea tena ili uende kwa fundi.

Kuna aina nyingi sana za hivi vifaa, ila me uwa napenda kusema zipo magroup matatu: Simple OBD-II (zinatupa generic codes), Professional OBD-II scanners na Factory scan Tools.


Simple OBD-II scanners zinatumia Bluetooth au Wi-fi au zingine cable.
images (3).jpeg

Nyingi zinakua za bei ndogo hadi elfu 20 tu na unaunganisha kifaa kwenye gari kisha una download free software kwenye smartphone yako na kupata access.

Kama jina linavyosema, itakusaidia kupata Diagnostic Trouble Codes (DTC) simple mfano kujua chanzo cha check engine, kuclear codes, live data, nk.
51vytPIeQaL._AC_UF1000,1000_QL80_.jpg

Zipo pia za kuunganisha na nyaya, nazo zitakua na waya unaonganisha kwenye port ya OBD-II kisha una access kwenye kifaa chenyewe direct.

Hizi zipo za kuanzia elfu 50 na kuendelea, kutegemea na sifa na uwezo.

Professional OBD-II scanners izi kwanza ni gharama kiasi, na zina kazi nyingi sana.
images (8).jpeg

Bongo kuna watu wanatoa huduma ya diagnosis wengine bure ila ukienda kufanya service kwenye gereji yao na wengine kwa pesa.

Mimi kilichonitia hasira kununua ni siku niliyoenda kwa Wauzaji wa BMW kutaka kufanya service wakaniambia diagnosis tu Tsh 180,000/= nikasema aisee.

Zenyewe mbali na kusoma DTC zinaweza pia kutoa maelezo zaidi ya chanzo cha tatizo, hadi kutoa suggestions nk. Nyingi zinauwezo wa kua na access ya internet na unaunga kwa Bluetooth, WiFi au cable.

Factory scan Tools zenyewe zinakua specifically kwa gari fulani. Mfano, unakuta BMW labda ana scan tool yake specifically, kwahiyo unaweza hadi kufanya programming mfano baadhi ya OEM files kama zimezingua.
images (9).jpeg

Kwa Tanzania, kuna wauzaji wa hivi vidude, kuanzia vya Bluetooth hadi professional, zipo brand mbalimbali na bei tofauti tofauti.

Kwa mfano, mimi uwa nnavyo vya simple OBD-II scanners vile vya Bluetooth na vya waya, kwa sample kama hizi hapa chini:
images (3).jpeg

Tsh 15,000/=

103913789-53430512.jpg

Tsh 20,000/=

-1106443168722402129.jpg
-1104931901-717795155.jpg

Tsh 50,000/=

-1106381589-1773825786.jpg
-1104979502271339652.jpg

Tsh 100,000/=

Na zingine nyingi.

Wateja wanaotakaga professional scanners tunakubaliana anayoitaka, naagiza kwa gharama zangu, ikifika ndio anafuata.

Ila pia, ukienda kununua diagnosis scanner, lazima ujue compatibility ya gari lako. Usijepewa ambayo haiendani na gari lako, itakua wastage.

Swali je, Diagnosis tools ni za kila mtu?

Hapana, kama wewe haupo interested sana na gari, kwamba taa ikiwaka tu anakuja fundi, sioni sababu ya kumiliki au kujifunza.

Ila kama ni enthusiast, unaweza ukaanza na hizi cheap scanners ukiwa interested unapanda hadi juu.

Karibuni kwa maswali, experience yako na ushauri zaidi.

Peace!
 
Habari wakuu.
View attachment 3181467
Kwa wamiliki wa magari au wenye interest na magari, leo tuongee kidogo kuhusu kufanya Diagnosis, ikiwa kama moja ya njia ya kufanya maintenance (preventive maintenance).

Nadhani wengi tumewahi kusikia hii term OBD ambayo ni kirefu cha on-board diagnosis.
View attachment 3181469
Sasa tukienda gereji, mafundi wanaonganisha kifaa flani (Scanner) kwa waya au Bluetooth au wifi kwenye gari kisha wanapata access ya baadhi ya information/status za gari na kujua ni system gani haifanyi kazi au ina matatizo, ili waifanyie marekebisho.

Hatutaongelea sana science behind hii process ila tujaribu tu kugusia kuhusu hivi vifaa (scanners) na jinsi vinavyoweza kutusaidia kama njia moja wapo ya kutunza gari.
View attachment 3181471
Magari yote yaliyotengenezwa kuanzia mwaka 1996 yamekuja na connector ya OBD-II, inayopatikana chini ya steering, na kupitia hii connector utaunganisha na scanner yako uweze kupata access ya information za gari.
View attachment 3181473
Kwahiyo kupitia kifaa chako, utaweza kupata taarifa za engine za gari, transmission, emissions, live data, sensors status, nk.

Kwa Mifano:

Mimi nilikua natumia sana kwenye BMW E90 hapo zamani, issue za water pump failure, misfires, nk nilikua nazisolve kabla hazijawa kubwa.

View attachment 3181432

(Hiyo pichani ni Innova 3160 nakumbuka nilinunua approx 800k kwaajili ya BMW)

Kwa sasa naitumia kujua status ya DPF imejaa kiasi gani, umbali unaotakiwa kufanya regeneration nk. View attachment 3181434
(Hiyo juu ya blue ni ELM 327 scanning tool ya Bluetooth, nilinunua kama elfu 16 hivi naitumia kwa Mazda)

Hapo kusema machache.

Ila pia zikitokea dashboard signs kama Check Engine au Vehicle Malfunction au sign yoyote itakusaidia kujua chanzo cha iyo sign, na kama imetokea bahati mbaya tu unaweza ukaifuta kisha ukasubiri uone kama itatokea tena ili uende kwa fundi.

Kuna aina nyingi sana za hivi vifaa, ila me uwa napenda kusema zipo magroup matatu: Simple OBD-II (zinatupa generic codes), Professional OBD-II scanners na Factory scan Tools.


Simple OBD-II scanners zinatumia Bluetooth au Wi-fi au zingine cable.
View attachment 3181474
Nyingi zinakua za bei ndogo hadi elfu 20 tu na unaunganisha kifaa kwenye gari kisha una download free software kwenye smartphone yako na kupata access.

Kama jina linavyosema, itakusaidia kupata Diagnostic Trouble Codes (DTC) simple mfano kujua chanzo cha check engine, kuclear codes, live data, nk.
View attachment 3181476
Zipo pia za kuunganisha na nyaya, nazo zitakua na waya unaonganisha kwenye port ya OBD-II kisha una access kwenye kifaa chenyewe direct.

Hizi zipo za kuanzia elfu 50 na kuendelea, kutegemea na sifa na uwezo.

Professional OBD-II scanners izi kwanza ni gharama kiasi, na zina kazi nyingi sana.
View attachment 3181477
Bongo kuna watu wanatoa huduma ya diagnosis wengine bure ila ukienda kufanya service kwenye gereji yao na wengine kwa pesa.

Mimi kilichonitia hasira kununua ni siku niliyoenda kwa Wauzaji wa BMW kutaka kufanya service wakaniambia diagnosis tu Tsh 180,000/= nikasema aisee.

Zenyewe mbali na kusoma DTC zinaweza pia kutoa maelezo zaidi ya chanzo cha tatizo, hadi kutoa suggestions nk. Nyingi zinauwezo wa kua na access ya internet na unaunga kwa Bluetooth, WiFi au cable.

Factory scan Tools zenyewe zinakua specifically kwa gari fulani. Mfano, unakuta BMW labda ana scan tool yake specifically, kwahiyo unaweza hadi kufanya programming mfano baadhi ya OEM files kama zimezingua.
View attachment 3181479
Kwa Tanzania, kuna wauzaji wa hivi vidude, kuanzia vya Bluetooth hadi professional, zipo brand mbalimbali na bei tofauti tofauti.

Kwa mfano, mimi uwa nnavyo vya simple OBD-II scanners vile vya Bluetooth na vya waya, kwa sample kama hizi hapa chini:
View attachment 3181491
Tsh 15,000/=

View attachment 3181493
Tsh 20,000/=

View attachment 3181496View attachment 3181497
Tsh 50,000/=

View attachment 3181499View attachment 3181500
Tsh 100,000/=

Na zingine nyingi.

Wateja wanaotakaga professional scanners tunakubaliana anayoitaka, naagiza kwa gharama zangu, ikifika ndio anafuata.

Ila pia, ukienda kununua diagnosis scanner, lazima ujue compatibility ya gari lako. Usijepewa ambayo haiendani na gari lako, itakua wastage.

Swali je, Diagnosis tools ni za kila mtu?

Hapana, kama wewe haupo interested sana na gari, kwamba taa ikiwaka tu anakuja fundi, sioni sababu ya kumiliki au kujifunza.

Ila kama ni enthusiast, unaweza ukaanza na hizi cheap scanners ukiwa interested unapanda hadi juu.

Karibuni kwa maswali, experience yako na ushauri zaidi.

Peace!
Napata ya Harrier Old Model
 
Back
Top Bottom