so for this one its ok baba ateseke lakini wengine hapana sio?
Hata ikibidi kuachana, cha maana ni kuweka mpango mzuri na endelevu wa kuangalia watoto rather than watoto kuteseka wakiwa na baba na mama
seeing a drunk farther, fighting with a b**ch mother talking all sh!t words and ending up ruining everyones lives
uvumilivu!!!!! Avumilie
Infidelity in woman is a masculine trait
Acid, one cannot just trust blindly especially in such a case atii! Hapa tunaandika kirahisi rahisi tu....tema huyo, import mwingine and stuff. But in the real sense ni ngumu bandugu.
Jamaa ana rely kwenye hearsay tu, no anyother supporting evidence. Chanzo chenyewe cha taarifa anakiaminije? Hata angekuwa ndugu wa damu wakati mwingine inabidi mtu ufanye homework yako bwana.
You cant just trust, utajuaje yaliyo moyoni mwa mwenzio! Binadamu si wema katu.
Halafu wewe... hiyo avatar drives me crazyuvumilivu!!!!! Avumilie
Halafu wewe... hiyo avatar drives me crazy
yani avumilie akiwa mlevi sio? mwisho afikie hatua ya kupoteza line na kuishiwa kutembelewa na watoto wa kitaa sio?
haya bana
Ungekuwa karibu yangu ningekuzaba kibao.... wewe unaamua kuharibu maisha yako sababu ya mtu ambaye hakujali????!!!!!! Move on with your life na kama una watoto chapa kazi kwa ajili ya watoto.....Samahani waungwana ila a few monts ago nimeanza kubugia pombe kama maji
Samahani waungwana ila a few monts ago nimeanza kubugia pombe kama maji. Nilikuwa nimemwamini sana mke wangu. nilimpa asilimia mia moja. nami baada ya ndoa sijawahi kumsaliti sasa yeye kaamua kutoka na my best friend. jamaa yangu kawaona live wanatoka guest house akaja kunambia. mimi nilikuwa na mashaka na mahusiano ya mke wangu na rafiki yangu tangu muda mrefu kwa sababu nikiwa na mke wangu nikikutana na rafiki yangu mwizi, mke wangu anaangalia chini na hawezi kabisa kumtizama jamaa. sasa imethibitika mke wangu anananihiwa na rafiki yangu. Sijamwambia kitu hadi sasa ila nimeanza kunywa pombe kama maji. Na hapa JF naomba msinishauri kuâcha pombe. Nimeweka thread hii kuwatahadharisha wale wenye ujinga kama wangu wa kumwamini mke 100%. Samahani yawezekana kuna wanawake waaminifu pia. Ila nimeacha kabisa kufanya the needful na mke wangu. hata akiwa uchi namwona kama mwanamme mwenzangu tu. Sijui kama nitakuja kugusa K maishani. Kila nikijisikia kudo nakamata bia. Kwaherini akina dada. Ninajua JF mna hekima na busara ila kwa sasa sihitaji ushauri wowote. Am married to vodka. Nawaasa tu wale walioweka 100% kwa wake zao. YAMENIKUTA. Naomba kuwasilisha wakuu.
Samahani waungwana ila a few monts ago nimeanza kubugia pombe kama maji. Nilikuwa nimemwamini sana mke wangu. nilimpa asilimia mia moja. nami baada ya ndoa sijawahi kumsaliti sasa yeye kaamua kutoka na my best friend. jamaa yangu kawaona live wanatoka guest house akaja kunambia. mimi nilikuwa na mashaka na mahusiano ya mke wangu na rafiki yangu tangu muda mrefu kwa sababu nikiwa na mke wangu nikikutana na rafiki yangu mwizi, mke wangu anaangalia chini na hawezi kabisa kumtizama jamaa. sasa imethibitika mke wangu anananihiwa na rafiki yangu. Sijamwambia kitu hadi sasa ila nimeanza kunywa pombe kama maji. Na hapa JF naomba msinishauri kuâcha pombe. Nimeweka thread hii kuwatahadharisha wale wenye ujinga kama wangu wa kumwamini mke 100%. Samahani yawezekana kuna wanawake waaminifu pia. Ila nimeacha kabisa kufanya the needful na mke wangu. hata akiwa uchi namwona kama mwanamme mwenzangu tu. Sijui kama nitakuja kugusa K maishani. Kila nikijisikia kudo nakamata bia. Kwaherini akina dada. Ninajua JF mna hekima na busara ila kwa sasa sihitaji ushauri wowote. Am married to vodka. Nawaasa tu wale walioweka 100% kwa wake zao. YAMENIKUTA. Naomba kuwasilisha wakuu.
ukimsoma dogo utagundua kwamba ameresort kwenye pombe, na ndio maana nasema kuna ya kuvumilia hapo kweli yani unateseka na kuishia kwenye ulevi usio wa hiari dadangu?Karibu chai ya rangi,
eeeeh, pombe za nini? maisha ya ndoa ni upendo, amani, uvumilivu nk nk nk
Sasa si avumilie, amuombee mke wake abadilike.
Au......????
vegule mida hii yupo anajidunga kilaji tu kuahirisha matatizo.
ha haaa haa unatia mahasira wananchi wanaotoa maushauri hapa.....some people-men are too weak...he is one of them.tumuombee tuu aone mwangaza wa matatizo yake before it is too late.....mie nimejitolea kumpa faraja....vegule njoo huku mwaya tulee watoto!:target::target::drum::hug:
Wee si umemsoma lakini?ha haaa haa unatia mahasira wananchi wanaotoa maushauri hapa.....some people-men are too weak...he is one of them.tumuombee tuu aone mwangaza wa matatizo yake before it is too late.....mie nimejitolea kumpa faraja....vegule njoo huku mwaya tulee watoto!:target::target::drum::hug:
Kama ukitaka uyaone maisha ni machungu kupindukia, basi mwamini mwanamke kwa asilimia 100. Kutokana na fundisho nililolipata kutoka kwa hawa binadamu, sitakaa nifanye hivyo tena, na hivi sasa nimekuwa mshauri wa vijana wengi wanaoingia kwenye mahusiano kutojitolea vyote mwili na roho kwa wenza wao kwa kuwa there is no a so called faithful woman in this world. Naungana kabisa na Vegule katika hili, kwamba wanawake ndiyo chanzo kikubwa cha frustration za wanaume walio wengi.
Kama ukitaka uyaone maisha ni machungu kupindukia, basi mwamini mwanamke kwa asilimia 100. Kutokana na fundisho nililolipata kutoka kwa hawa binadamu, sitakaa nifanye hivyo tena, na hivi sasa nimekuwa mshauri wa vijana wengi wanaoingia kwenye mahusiano kutojitolea vyote mwili na roho kwa wenza wao kwa kuwa there is no a so called faithful woman in this world. Naungana kabisa na Vegule katika hili, kwamba wanawake ndiyo chanzo kikubwa cha frustration za wanaume walio wengi.
mh umesemaje lukolo na wanaume wao huwa wanatupatia chocolate all the time:whoo: