Behind any frustrated man there is a woman

Behind any frustrated man there is a woman

Saa hiyo pombe ndiyo itakayolelea watoto?achana nayo hilo kosa dogo kwetu faini yake sh 500
 
AAAHHH kimewauma wababe wa humu kila mshauri aaah muache hafai ni kicheche simply coz ni mwanamke na yanayofanywa na wanaume kila daily wanawake hawana uchunguuuu, mnajiona wajanja kumbe huwa ni kama nyani na kioo......
webaba mwenye tatizo pole vumilia tu kama wa mama wanavyo vumilia mijengoni.:teeth:
 
mnajiona wababe mi nawashangaa kukandamiza wanawake tuuuu, akizin mwanmke kosa ila mwanaume ni rijali nyamb****fu kabisa na kila mwanamke apate nafasi ya ku do out na afanye tuuuuu.......
 
Kila jaribu lina Mlango wa kutokea kaka, hayo yamekutokea ili pia ujifunze kwamba, tunakuwa waaminifu kwa sababu tunawezeshwa na Mungu.

Ni kosa ambalo kama mwanadamu, hata wewe unaweza kujikuta unakosea.

Najua kibinadamu ni ngumu, lkn nakuombea neema ya Mungu ikutoe kwanza kwene hicho kifungo cha ulevi, halafu akupe Neema ya kujiuliza ni mangapi ww umemkosea Mungu lkn kwa huruma amekusamehe??

Na bado unaishi?? Mungu akupe neema ya pekee umsamehe mke wako, na umuombee na kumfundisha ili atoke ltk kifungo hicho kibaya.

Kumbuka wanandoa tunatakiwa tusaidiane ktk madhaifu yetu ili pia tuweze kumuona Mungu mwisho wa Maisha yetu.

Muonee huruma kwamba anaangamia, halafu uchukue hatua ya kumsaidia. Na huo ndio unaoitwa UPENDO WA KWELI.

we hawa hawajajikuta,wamekuwa{na labda wanaendelea na huu mchezo}kwa muda tu mpaka mwenyewe kagundua.ila ndugu'muibiwa' na 'kifua' unacho!!mi labda ningefanya tendo moja la kipuuzi sana.hebu hurumia wanao,kama umejiridhisha na kudanganywa na mkeo,muzee piga chini huyo mzinzi na tafadhali fanya kutengana mapema maana na mapenbe uliyoyachagua utakuja kumchinja bure siku moja afu ukajajuta baadae ukiwa ukonga na watoto wamekuwa wa mitaani.hebu weka ka-umbali kidogo for the gud of both of you!
 
we hawa hawajajikuta,wamekuwa{na labda wanaendelea na huu mchezo}kwa muda tu mpaka mwenyewe kagundua.ila ndugu'muibiwa' na 'kifua' unacho!!mi labda ningefanya tendo moja la kipuuzi sana.hebu hurumia wanao,kama umejiridhisha na kudanganywa na mkeo,muzee piga chini huyo mzinzi na tafadhali fanya kutengana mapema maana na mapenbe uliyoyachagua utakuja kumchinja bure siku moja afu ukajajuta baadae ukiwa ukonga na watoto wamekuwa wa mitaani.hebu weka ka-umbali kidogo for the gud of both of you!

sorrry,ilikusudiwa kusomeka 'mapombe'
 
Samahani waungwana ila a few monts ago nimeanza kubugia pombe kama maji. Nilikuwa nimemwamini sana mke wangu. nilimpa asilimia mia moja. nami baada ya ndoa sijawahi kumsaliti sasa yeye kaamua kutoka na my best friend. jamaa yangu kawaona live wanatoka guest house akaja kunambia. mimi nilikuwa na mashaka na mahusiano ya mke wangu na rafiki yangu tangu muda mrefu kwa sababu nikiwa na mke wangu nikikutana na rafiki yangu mwizi, mke wangu anaangalia chini na hawezi kabisa kumtizama jamaa. sasa imethibitika mke wangu anananihiwa na rafiki yangu. Sijamwambia kitu hadi sasa ila nimeanza kunywa pombe kama maji. Na hapa JF naomba msinishauri kuâcha pombe. Nimeweka thread hii kuwatahadharisha wale wenye ujinga kama wangu wa kumwamini mke 100%. Samahani yawezekana kuna wanawake waaminifu pia. Ila nimeacha kabisa kufanya the needful na mke wangu. hata akiwa uchi namwona kama mwanamme mwenzangu tu. Sijui kama nitakuja kugusa K maishani. Kila nikijisikia kudo nakamata bia. Kwaherini akina dada. Ninajua JF mna hekima na busara ila kwa sasa sihitaji ushauri wowote. Am married to vodka. Nawaasa tu wale walioweka 100% kwa wake zao. YAMENIKUTA. Naomba kuwasilisha wakuu.

Yes yes. Tinye mpaka tifeeeeeeeeee..............
 
maty nakubaliana na wewe na pia sikubaliani na wewe ivi kweli alikuwa ana communicate na mkewe kujua ana mridhisha au alikuwa anassume kwamba kwa kufanya hayo ndo kamaliza sitetei kucheat hata kidogo lakini mimi bado naamini kwamba mwanamke mara nyingi inakuwa ngumu sana kutembea nje ya ndoa lazima kuna sababu ambayo siwezi kuitetea bado huyu mama anahitaji msamaha embu fikiri wanawake wanaona mangapi na si mara moja bado tunasamehe na kujenga nyumba zetu kwanini kosa moja la mama lisiwe na msamaha

Chauro, rejea maelezo yangu kuhusu mapenzi yangu na my infidel wife. Alikuwa akinena mwenyewe na nilikuwa naona mwenyewe na kuhakikisha beyond any reasoble doubt kwamba anafika tena kile kilele kikubwa anachochukua muda mrefu kushuka. Na akishuka ni anachukuliwa na usingizi kabisa. I used to leave no stone unturned. Yaani (kama wewe ni she) unataka hadi nionyeshe practically asee. Sorry, dont be offended.
 
USHAURI: Pombe haitatui matatizo, zaidi ya kuyaongeza. Hata hivyo kitendo alichofanya mkeo sio cha kwanza duniani; kwani wengi wanafanyiwa na wanaona kawaida. Kama una watoto, wafikirie kwanza ndipo huendelee na uamuzi wako wa kuchagua Vodka kuwa mpenzi wako.
 
Ukisamehe huyo kicheche hakuna ushahidi kuwa hatarudia tena makosa yake. Na kama alifanya zaidi ya mara moja basi alikuwa anajua anachokifanya na alifanya kwa makusudi! Kosa la kucheat halitokeagi kwa bahati mbaya. Ni kosa la makusudi kwani mtu hadi unapofikia kuvua nguo na kudinyana na mwenzio lazima utakuwa umefikiria na kupanga. Sasa msamaha wa nini hapo?

Sasa utasamehe. Akirudia tena na tena bado utaendelea kusamehe? Huko kusamehe kikomo chake ni hadi aliwe mara ngapi?
 
Hivi braza ulioa binadamu au ulioa malaika?

Why did you expected 100% kutoka kwa human being?
Unajua wakati naoa nilikuwa najidanganya ati hata nke wangu akinicheat siwezi paniki (wakati huo huo subconsciously naona hafanani na kucheat) sasa utamu wa kucheatiwa ndo nauona especially when ur not a member of INFIDELTY PARTY. Mkuu, ngoja kwanza nikaongeze mzinga mmoja wa konyagi halafu nitarejea.
 
USHAURI: Pombe haitatui matatizo, zaidi ya kuyaongeza. Hata hivyo kitendo alichofanya mkeo sio cha kwanza duniani; kwani wengi wanafanyiwa na wanaona kawaida. Kama una watoto, wafikirie kwanza ndipo huendelee na uamuzi wako wa kuchagua Vodka kuwa mpenzi wako.
Unajua nisipokunywa hata usingizi haupatikani hata chembe. It acts as a temporary shock absorber as I attempt to trace my own self.
 
Ukisamehe huyo kicheche hakuna ushahidi kuwa hatarudia tena makosa yake. Na kama alifanya zaidi ya mara moja basi alikuwa anajua anachokifanya na alifanya kwa makusudi! Kosa la kucheat halitokeagi kwa bahati mbaya. Ni kosa la makusudi kwani mtu hadi unapofikia kuvua nguo na kudinyana na mwenzio lazima utakuwa umefikiria na kupanga. Sasa msamaha wa nini hapo?

Sasa utasamehe. Akirudia tena na tena bado utaendelea kusamehe? Huko kusamehe kikomo chake ni hadi aliwe mara ngapi?
Mheshimiwa, maneno yako yana bear the whole truth. Nakumbuka zamani nikiwa kijijini kwetu kuna jamaa alikuwa na mke kicheche sana. Akawa anamdunda hadi anapoteza fahamu. Akizinduka tu hata kabla ya kutafuta matibabu, anatafuta lijamaa jingine linamdinya tena. Hili gonjwa la infidelity huwa ni viral, its incurable. Msamaha for this creature is a non option.
 
we hawa hawajajikuta,wamekuwa{na labda wanaendelea na huu mchezo}kwa muda tu mpaka mwenyewe kagundua.ila ndugu'muibiwa' na 'kifua' unacho!!mi labda ningefanya tendo moja la kipuuzi sana.hebu hurumia wanao,kama umejiridhisha na kudanganywa na mkeo,muzee piga chini huyo mzinzi na tafadhali fanya kutengana mapema maana na mapenbe uliyoyachagua utakuja kumchinja bure siku moja afu ukajajuta baadae ukiwa ukonga na watoto wamekuwa wa mitaani.hebu weka ka-umbali kidogo for the gud of both of you!
Mzee najua sasa hivi najiadhibu kwa kula kinywaji ila naona na yeye adhabu inampata kali pia. Karibia wiki nzima amehangaika kunipakulia chakula cha usiku. Halafu MIMI NINAKIANGALIA TU. wakati mwingine ninakaa kwenye kiti nasoma gazeti yeye kajiandaa kwenye 6x6. When I see her thing mine contracts even more. Remember we are still in the same 6x6 hadi sasa wakati nikitunga sheria kila mtu aenda kipande yake. Ngoja kwanza nikachukue kabox ka penasol narejea.
 
we hawa hawajajikuta,wamekuwa{na labda wanaendelea na huu mchezo}kwa muda tu mpaka mwenyewe kagundua.ila ndugu'muibiwa' na 'kifua' unacho!!mi labda ningefanya tendo moja la kipuuzi sana.hebu hurumia wanao,kama umejiridhisha na kudanganywa na mkeo,muzee piga chini huyo mzinzi na tafadhali fanya kutengana mapema maana na mapenbe uliyoyachagua utakuja kumchinja bure siku moja afu ukajajuta baadae ukiwa ukonga na watoto wamekuwa wa mitaani.hebu weka ka-umbali kidogo for the gud of both of you!


Okey, pamoja na yote hayo, je mama huyu hawezi kupewa nafasi nyingine ya kutubu makosa yake,
Na kusamehewa, kwa maana ya kwamba hatarudia tena??
 
aftersixbeers.gif
 
Mheshimiwa, maneno yako yana bear the whole truth. Nakumbuka zamani nikiwa kijijini kwetu kuna jamaa alikuwa na mke kicheche sana. Akawa anamdunda hadi anapoteza fahamu. Akizinduka tu hata kabla ya kutafuta matibabu, anatafuta lijamaa jingine linamdinya tena. Hili gonjwa la infidelity huwa ni viral, its incurable. Msamaha for this creature is a non option.

Unajua ni kweli mtu akikufanyia kitu ambacho wewe hukifanyi kinauma sana,
Lakini kwa sasa mimi nahisi huwezi kuwa na maamuzi sahihi ukiwa katika hio hali ya kulewa,

Kuna kawaida hii hapa kwenye jamii, mtu akikutukana halafu kesho akiwekwa kwenye baraza,
akisema, samahani sikukusudia ila nilikuwa nimekunywa nikalewa, basi utasikia tu,

Ee bwana ukinywa pombe zako nenda kalale, usitukane watu, na kesi inaisha.
Kwa hio nahisi sasa hivi akili yako haipo katika hali nzuri, ya kufanya maamuzi katika swala zito na gumu kama hili.

Naomba utulie, acha pombe hizo, mwombe Mungu, then fanya maamuzi. Ambayo hata siku za mbele hutasema lakini unajua zile pombe zilichangia katika yale maamuzi. Sikutakiwa kuamua vile.

Samahani lakini.
 
Mzee najua sasa hivi najiadhibu kwa kula kinywaji ila naona na yeye adhabu inampata kali pia. Karibia wiki nzima amehangaika kunipakulia chakula cha usiku. Halafu MIMI NINAKIANGALIA TU. wakati mwingine ninakaa kwenye kiti nasoma gazeti yeye kajiandaa kwenye 6x6. When I see her thing mine contracts even more. Remember we are still in the same 6x6 hadi sasa wakati nikitunga sheria kila mtu aenda kipande yake. Ngoja kwanza nikachukue kabox ka penasol narejea.

maliza hii maneno na utafurahia maisha,kusamehe is letting go..is a part of healing process.kama kukoma am sure ameshakoma...trust me hatarudia tena.
NB:bado najitolea kuwa shock absorber....aka kidumu.😛arty:
 
Back
Top Bottom