Zemanga zoze
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,016
- 1,722
sina shaka na makala zako mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa vizuri zaidi na zaidi kama utazielezea conspiracies mbalimbali zilizovuma baada ya tukio ili kuikamilisha hii simulizi vizuri mkuu The BoldEndelea kufuatilia mkuu.. Hasa hasa nikiweka sehemu ya pili na ya Tatu.. Kuna mambo yenye utata sana yalifanywa na "US Intelligence Community" kabla na baada ya tukio ambayo yanatia shaka mno..
Shukrani sana kiongozi..sina shaka na makala zako mkuu
Nitajitahidi kugisia yote hayo.!Itakuwa vizuri zaidi na zaidi kama utazielezea conspiracies mbalimbali zilizovuma baada ya tukio ili kuikamilisha hii simulizi vizuri mkuu The Bold
Shukrani sana mkuu..mkuu the bold unaweza, hongera sana!
Hahah! Karibu sana mkuu..
Hahah! Kesho kutwa tu mkuu..Shukrani mkuu.ila jumatatu mbali.Fanya kesho
Shukrani mkuu..Shukrani sana,uko vizuri,j3 sikosi humu
hao jamaa wa..".US INTELLIGENCE COMMUNITY""..ndio wanaompeleka puta trump asa hivi....wameamua kumpa taarifa nusunusu......us ipo mikononi mwao aisee...!!!!...Endelea kufuatilia mkuu.. Hasa hasa nikiweka sehemu ya pili na ya Tatu.. Kuna mambo yenye utata sana yalifanywa na "US Intelligence Community" kabla na baada ya tukio ambayo yanatia shaka mno..
Shukrani..Naona kama jumatatu mbali sana...ila asante sana Mkuu THE BOLD nasubiri kwa hamu.