Behind the curtain: September 11

Lazima kapatwa na kilicho mkuta hivi kawai kuvuta siku kweli kama hv??

Najua unaohisi wamepungua ni wale walio soma tayar hizi mada huko whatsapp maana anatanguliza kwanza kule

Kimbembe kwa sisi wakusubili hizi zabure so tuwe wavumilivu

Naona mala ya mwisho alikuwa hewan sijui friday

Kama amepatwa na tatizo tutajuaje mkuu,tusubili au kula kona wacha kashfa za kikoma

Nifan nae yuu wapi sijui
 
nniiiiii ......fffffaaaaahhh...[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] .......!!!!....
 
Sasa waarabu nao hawafiliii yaan akil zao za usiku kweli!! Kama n kweli Hvo ndivo Al Quaida ndo ilivoanza bila shaka ndo imeleta kuibuka kwa vikundi vyote vya kiislam duniani pote !! Ni kweli nchi nyingi Africa na Asia zimekua zkikandamizwa na nchi za magharibi ikiwemo Marekani !!... Lakin swali linakuja Je kwa kufanya hivo wamejikomboa kutoka ugandamizaji au wameleta majanga makubwa s ktk nchi za magharibi Ila wameileta jehanam kubwa nchin mwao na Uarabuni ...Ebu ona Leo watu wanavokufa ,raia nchi za Syria ,Afghanistan ,Pakistan ,Iraq ,Yemen, mabilion ya watu ...sehem nyingi yamekua magof na wananchi wamekua wakimbiz tena sasa syo vita kati ya magharibi Ila hata wao kwa wao!!... Tena vikund hivi vimefka afrika somalia,Nigeria ,misri n.k huku wanaua waafrika wenzao na s watu wa magharibi!!....Ieleweke kwamba hawa wenzetu upeo wao si mzuri baada ya kutatua tatzo wao wanaongeza !! Mi nafikir hapa elimu inahusu!!...
Lakin tuangalie Nchi kama China tatizo hilo hilo lakin wamelisolve kwa akili na hekima kubwa !! Wanajua syo vita ya mtutu Ila vita yake n kiuchumi hapo ndipo unaweza kujinasua ktk ubabe bila kuangamiza vizazi vyako!!....Na sasa marekani na nchi za magharibi zinaiheshimu China kwan s ya kitoto tena!...Mi nafikir Afrika na hawa wenzetu waarabu wana cha kujifunza hapa!!
 
kuna sehemu nimeikuta muendelezo wake mpaka sehemu ya 6...
nawachora tu humu....[emoji38] [emoji38] [emoji38] ....
ni nouma...huyo attah mumsikiage hivyohivyo....mipango mpaka spain...czech..
poa msubirieni atawaletea.....
 
Bado nafuatilia

Bado naendelea kusubiria mwisho wa hii mission
 
Nani kakwambia ufuatilia stori usizoalikwa uje kuzisoma....mwenyewe ndo unajicheleweshea muda mkuu
 
Mkuu mfano akija akakwambia alikua na tatizo la kifamilia, au kijamii au alisafiri nje ya nchi utamwomba msamaha kwa haya uliyoandika? Ni mara ngapi ameleta thread nzima na mara ngapi ameleta nusunusu? (Tufanye comparison sio kulalamika tu), Ok mkuu unasema ameanza uswahili kwanini wewe mwenye uzungu usitafute source ya story yake ukatafsiri kisha ukaileta mwanzo hadi mwisho? (Somo hapa jifunze kuheshimu kitu anachofanya mtu wakati wewe huna uwezo nacho), unasema amevimba kichwa! kwa kipi unachomlipa??? akikuwekea story ukasoma ukamsifia unakua umempa nini cha kuilisha familia yake???, wengi wanasoma whatsapp kwenye group lake ndo mana hawaonekani humu, na wengine wanasoma tu bila kucoment kwa ajili ya wivu wao kama wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…