Mkopi salo
Senior Member
- Jun 24, 2015
- 102
- 78
Umeongea nae, maana kama anakuja nasubiri vitu muhimu hapa, kuna mtu namdai nilikuwa nimfate leo nikamtishe tena, maana nilimwambia usipo nilipa nitakufanya zaidi ya nilicho wafanya wamarekani, akauliza uliwafanyaje hapo ndipo nilipo uona umuhimu wa The bold, maana nilipangilia lile tukio la 9/11 sasa nimemkatisha leo nimemwambia nitakwenda kwake halafu nitamuhadisia utasema na mimi nilikuwamo.Anakuja[emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]