Behind the curtain: September 11

Behind the curtain: September 11

Anakuja[emoji4]
Umeongea nae, maana kama anakuja nasubiri vitu muhimu hapa, kuna mtu namdai nilikuwa nimfate leo nikamtishe tena, maana nilimwambia usipo nilipa nitakufanya zaidi ya nilicho wafanya wamarekani, akauliza uliwafanyaje hapo ndipo nilipo uona umuhimu wa The bold, maana nilipangilia lile tukio la 9/11 sasa nimemkatisha leo nimemwambia nitakwenda kwake halafu nitamuhadisia utasema na mimi nilikuwamo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umeongea nae, maana kama anakuja nasubiri vitu muhimu hapa, kuna mtu namdai nilikuwa nimfate leo nikamtishe tena, maana nilimwambia usipo nilipa nitakufanya zaidi ya nilicho wafanya wamarekani, akauliza uliwafanyaje hapo ndipo nilipo uona umuhimu wa The bold, maana nilipangilia lile tukio la 9/11 sasa nimemkatisha leo nimemwambia nitakwenda kwake halafu nitamuhadisia utasema na mimi nilikuwamo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha haa sasa omba Mungu atokeze leo leo kweli kabla hujaumbuka[emoji1]

Ila kasema anakuja muda si mrefu... Sijui ndo anamaliza kumbembeleza Nifah lol
 
Jamaa aliniambia hapo ndo mwisho ukitamwendelezo zaidi Jiunge kwenye grp sio kulalamika tu bure hapa.

Au nikumegeeni mwendelezo kidogo kutoka kule whatsapp
 
kuna sehemu nimeikuta muendelezo wake mpaka sehemu ya 6...
nawachora tu humu....[emoji38] [emoji38] [emoji38] ....
ni nouma...huyo attah mumsikiage hivyohivyo....mipango mpaka spain...czech..
poa msubirieni atawaletea.....
Hapa unaonesha upeo wako jinsi ulivyo mdogo, usidhani tunaofuatilia jukwaa hili hatujuwi kilichojiri na mtandao mzima wa Al qaeda? hiki ni kijiwe cha story, hapa unajichora mwenyewe tu.
 
Ha ha haa sasa omba Mungu atokeze leo leo kweli kabla hujaumbuka[emoji1]

Ila kasema anakuja muda si mrefu... Sijui ndo anamaliza kumbembeleza Nifah lol
Yaani The bold kashanipa mtihani mwenyewe naonekana Bonge la Gaidi halafu ukichangia mimi mwenyewe Macho makubwa halafu nna ndevu, sasa nikiongea namtolea mtu macho, bc nazidi kuwatisha nimewaambia nikisikia mahali mmekwisha leo nishapigiwa simu mbili sipokei sina muda nitazima, hapa sendi kudai mpaka The bold aibuke.
 
Habari wakuu,


Nilikuwa na dharura binafsi tangu siku ya Ijumaa.. Miniswamehe bure kwa usumbufu uliojitokeza..


Nitaweka muendelezo leo hii baada ya kama lisaa limoja kutoka sasa!


Kumradhi sana kwenu nyote!



The Bold
Sawa Mkuu.
 
Habari wakuu,


Nilikuwa na dharura binafsi tangu siku ya Ijumaa.. Miniswamehe bure kwa usumbufu uliojitokeza..


Nitaweka muendelezo leo hii baada ya kama lisaa limoja kutoka sasa!


Kumradhi sana kwenu nyote!



The Bold
Poa mkuu
 
Habari wakuu,


Nilikuwa na dharura binafsi tangu siku ya Ijumaa.. Miniswamehe bure kwa usumbufu uliojitokeza..


Nitaweka muendelezo leo hii baada ya kama lisaa limoja kutoka sasa!


Kumradhi sana kwenu nyote!



The Bold
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bora nianze kucheka mwenyewe mzee mzima umerudi karibu kiti, dharura, kusahau ni katika maumbile ya mwana damu, tumekusamehe ila leo iongeze urefu kidogo kaka
 
Hii kazi ngumu sana.kama hauna moyo wa uvumilivu kama Mimi.utaamua kufa na elimu yako.
 
Tatizo mnamsifia kupitiliza hivyo jamaa kavimba kichwa ndo maana ameanza uswahili wa kuleta thread nusunusu tena na hata akiahidi siku ya kuiendeleza hatimizi ahadi maana keshavimba kichwa tena hata wafuasi wake makini wameanza kupungua wamebaki "akina unitag" tofauti na zamani maana anafanya uhuniuhuni tu
Sipati picha.kama mngekuwa mmatoa na ada.
 
Back
Top Bottom