Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
-
- #741
Kama isingekuwa ile "pasipo silaha, chuki au ukatili" basi ingekuwa hii "September 11"Ningeshangaa sana kama mtu makini kama wewe husomi hizi mambo.
Sasa matola ukitaka kila mtu awe kama wewe ndipo unapokosa busara mkuu, we tumia internet uwezavyo wasojua kutafasiri au kutafuta habari waache waendelee na safari zao, do u think u know much? Pole mkuuHivi internet huwa zinawasaidia nini? Huwa nashindwa hata kuwashangaa watu wa sampuli yako.
Ccm itatawala milele mpaka pale kizazi zembe kama hichi kisicho hata na chembe ya udadisi kitakapotomea.
Google is ur user friend brother.
View attachment 475669
Hivi we MLAU umekula maharage ya wapi! Hebu tumia busara sio kuquote story nzima..Noted
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe chizi sana ujue?Kama isingekuwa ile "pasipo silaha, chuki au ukatili" basi ingekuwa hii "September 11"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Napenda kujiunga hilo group la whtsap, nifanyeje?Hahah! Sijui tunafanyaje mkuu?
Karibu WhatsApp..
Shukrani mkuu..Mkuu the Bold, Nimekubali....! Nasubiria mwendelezo j'mosi.
Inawezekana.! Nitumie namba yako..Asanta sana The bold, tuko pamoja Sana tatzo nimejaribu kujiunga kwa group ya whatsapp inagom kwangu, nikutumie namba yangu uniunge? Niko Namíbia
You welcome Cheupe wangu.. Unajua vile napendaga nikiandika kitu alafu roho yako ifurahi.. [emoji7][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wewe chizi sana ujue?
Absolutely,hii umenishika baba.
Siwezi kuelezea kiasi ninachoipenda hii makala.
Nicheki 0718 096 811 (kuna fee ya elfu tano)Napenda kujiunga hilo group la whtsap, nifanyeje?
Mkuu naomba tena kuuliza hawa watekaji waliingiaje na silaha ndani ya ndegeNicheki 0718 096 811 (kuna fee ya elfu tano)