Behind the curtain: September 11

Behind the curtain: September 11

Mkuu kwamwewe,

Tafadhali acha kuquote Uzi wote kwa kurudia rudia ili uweke post.. Unaweza kuweka post zako bila kuquote na zikaonekana..

Si unaona watu wote humu tunaweka post zetu bila kuquote hovyo hovyo??

Unasababisha usumbufu mkubwa sana kwa watumiaji wa app kwenye simu..


Thanks mkuu kwa ukumbusho . sitarudia tena na samahani kwa wale niliowakwaza

 
Mambo mengine yanasikitisha mno we fikiria abiria na marubani wanamakosa gani ?: embu pata picha rubani akihamaki alikua anawaza nini ?? Bila shaka uhai wake, mke wake na watoto wake kama anao VIP kuhusu abiria kwa wakati huo waliwaza nn? Hofu na mashaka ilikua kwa kiasi gani mioyoni mwao? Najaribu kupata picha naishia kusikitika mno alafu wengine wanakasfu misimamo ya trump kwa upande wangu yuko right kabisa .
 
Mkuu hongera sana, nina maswali mengi ya kuuliza ila nasubiri kuyauliza mwisho wa simulizi. Naomba usiwe unanisahau kunitag kwenye post zako
 
mku the bold nina ombi moja,kwa mfululizo wa makala zako unajua ma movie mengi sana ya hizi mambo za kijasusi,nitajia hata mbili tatu unazo zikubzli ile mbaya.natanguliza shukrani kwako
 
Nipo hapa geti la mbao naelekea darajani nipe hilo buku tano nimpelekee
 
mku the bold nina ombi moja,kwa mfululizo wa makala zako unajua ma movie mengi sana ya hizi mambo za kijasusi,nitajia hata mbili tatu unazo zikubzli ile mbaya.natanguliza shukrani kwako
NARCOS itafute hiyo
 
Mmmmhh halafu twajisifu na sisi vidume, kumbe mboga saba tu, yaani jamaa hata kama tendo walilo fanya sio zuri lakini kweli wameonyesha msimamo na ukakamavu.
The bold utakuja kutuuwa maana hapa nilijua nimo ndani ya ndege na mimi ni jarrah nishamuaga mpenzi wangu.
 
You welcome Cheupe wangu.. Unajua vile napendaga nikiandika kitu alafu roho yako ifurahi.. [emoji7]
I know darling [emoji8]
Seriously (nimekuwa nikikuambia hili mara nyingi) huwa unanikosha sana kwa makala za Osama.
Unamuelezea vizuri mnooooo [emoji39] [emoji119]
 
Mmmmhh halafu twajisifu na sisi vidume, kumbe mboga saba tu, yaani jamaa hata kama tendo walilo fanya sio zuri lakini kweli wameonyesha msimamo na ukakamavu.
The bold utakuja kutuuwa maana hapa nilijua nimo ndani ya ndege na mimi ni jarrah nishamuaga mpenzi wangu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mambo mengine yanasikitisha mno we fikiria abiria na marubani wanamakosa gani ?: embu pata picha rubani akihamaki alikua anawaza nini ?? Bila shaka uhai wake, mke wake na watoto wake kama anao VIP kuhusu abiria kwa wakati huo waliwaza nn? Hofu na mashaka ilikua kwa kiasi gani mioyoni mwao? Najaribu kupata picha naishia kusikitika mno alafu wengine wanakasfu misimamo ya trump kwa upande wangu yuko right kabisa .
Kweli mkuu. Unakuta asubuhi anaenda kazini mtoto anamwambia dady usisahau kuniletea chocolate...Halafu ndio hivyo tena. Usikute kwenye hizo ndege na hilo jengo watoto wadogo walikuwepo pia.
 
Back
Top Bottom