Behind the curtain: September 11

Behind the curtain: September 11

Nimekuambia tuliza mpapa huo kakutane nae huko huko grup na ajabu me grup sipo ndo ushangae kwanin baamed kakataa kiloba anataka bia.....
"Japo kunguru ni mwoga, lakini wangapi wamekufa!?" Hebu epusha bawa lako mkuu, funika kombe......., ili tusiendelee kuchafua nyuzi hii.
 
The bold naomba ufungue blog ili tukutembelee kwenye hiyo blog huku tukifaidika na haya mastory basi na wewe uwe na google adsense uingize mpuga ndugu yangu, vinginevyo tutasoma na kuondoka lakini kwenye blog tayar mpaka sasa una viewes wa kutosha
Shukrani sana mkuu.. Nitakifanyia kazi hili.!
 
Sorry mkuu the @bold,bro nashindwa kuzisikiliza hizi unazosema sauti za hawa magaidi na wanaoomba msaada kuna post yako umesema umezituma via W'app,kama hutojali kaka nielekeze jinsi ya kuifikia hiyo hatua...nataka kuzisikia yaani kichwa kinanigonga kushindwa kuzisikiliza.
8b9d97249e4d1d66073ddc624f864b9d.jpg

Maneno nimeyaona ndiyo ila shida yangu ni kuzisikia sauti zao.thanks in advance.
 
THE LIES OF 9/11/2001

Missing 2.3 Trillion Dollars is one of the main causes for 9/11

Donald Rumsfeld admitted $2.3 Trillion missing on 9/10/2001;
one day before 9/11!!



It was clearly a drone or a missile that hit the pentagon, and WTC7 came down by controlled demolition explosions from bottom-up, almost simultaneously! Also, it's been scientifically proven that military-grade Thermite was used to melt the WTC pillars, which caused the buildings to collapse. 9/11 was 100% an Israeli Mossad operation! See also: The Hijacked Bible.
Wee jamaa umuniconfuse, hebu rudia
 
Sorry mkuu the @bold,bro nashindwa kuzisikiliza hizi unazosema sauti za hawa magaidi na wanaoomba msaada kuna post yako umesema umezituma via W'app,kama hutojali kaka nielekeze jinsi ya kuifikia hiyo hatua...nataka kuzisikia yaani kichwa kinanigonga kushindwa kuzisikiliza.
8b9d97249e4d1d66073ddc624f864b9d.jpg

Maneno nimeyaona ndiyo ila shida yangu ni kuzisikia sauti zao.thanks in advance.
Nicheki WhatsApp nikutumie..

0718 096 811


Na mwingine yeyote anayehitaji.. Nijulishe WhatsApp nikutumie..!!

- Sauti ya Atta
-Sauti ya Rubani, "Mayday"
-Sauti ya Jarrah
- Sauti ya Muhudumu flight 93 akimuaga mumewe kwenye simu
 
Nicheki WhatsApp nikutumie..

0718 096 811


Na mwingine yeyote anayehitaji.. Nijulishe WhatsApp nikutumie..!!

- Sauti ya Atta
-Sauti ya Rubani, "Mayday"
-Sauti ya Jarrah
- Sauti ya Muhudumu flight 93 akimuaga mumewe kwenye simu
 
Nicheki WhatsApp nikutumie..

0718 096 811


Na mwingine yeyote anayehitaji.. Nijulishe WhatsApp nikutumie..!!

- Sauti ya Atta
-Sauti ya Rubani, "Mayday"
-Sauti ya Jarrah
- Sauti ya Muhudumu flight 93 akimuaga mumewe kwenye simu
Shukrani kaka.ubarikiwe sana.
 
Yaaani The Bold tuache utani, unanikumbusha mbali na huu uraibu wa stori zako, unajua miaka flani iv niko primary kulikua kuna kipindi cha mama na mwana kinarushwa na RTD yaani radio tanzania dar es salaam kikihostiwa na Eda sanga na wenzake wengine nishawasahau basi walikua wanakirusha saa saba mchana yaani nikajikuta siwezi kukikosa hicho kipindi na zile hadithi za Bibi Aga, ndivyo ilivyo sasa na mastori yako na maarifa yangu yote najikuta na tumbua mimacho nikisoma hizi stori na wakati nilisha jizuwia na uraibu wa tamthilia za kikorea na kimarekani kwa kua zinanitupia mda sana ila all in all hongera wee unajua kweli.
Ushauri: kua makini na masuala ya umiliki wa kilicho chako maana wa tz hawakawi kuipublish halafu wakajimilikisha.
Debora mwenda mkuu....ile sauti yake...kwa namna alivyokuwa anahadirhia.....hutoki redioni...!!!
 
Back
Top Bottom