Sibongile Mudenda
Senior Member
- May 3, 2016
- 108
- 108
Na mimi uni add plsDah! Nisamehe bure mkuu..
Nimekuadd tayari kwenye taglist
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi uni add plsDah! Nisamehe bure mkuu..
Nimekuadd tayari kwenye taglist
Naomba nimjibie kama nitakuwa nje nadhani ataongezea vitakavyopunguaMkuu the bold tufafanulie hapo ilikuwaje kikao cha kuzaliwa al qaeeda kikafanyika 1988 wakati wakati huo mrusi alikuwa hajaondoka afghanistan na marekani bado walikuwa na alliance na mujahedeen?
Shukrani..
Stay tuned!
The BoldShukrani..
Stay tuned!
The Bold
Niseme tu kwa aina ya uandishi wako unavutia, lakini hili la 911 kama unaamini Osama na kikundi chake ndio walipanga na kutekeleza 911 ni wazi hujafanya utafiti wa kutosha.
911 ni inside job ya siri-kali.
Google )911 inside job or 911 truth utapata taarifa za kujiridhisha kwamba 911 ni 2Pearl habour.
Ndiyo, yote yalikuwa inside job, hata ya Kenya na Tanzania.Dunia nzima wanaamini Sep 11 lilikuwa na Shambulio la kigaidi lililofanywa na Al-Qaeda na ww unasema ni Inside Job sijui ni vigezo gani umetumia coz ninachojua ndani ya US zipo sheria zinazowalinda watu kusema chochote na kupata taarifa zozote
Freedom of Information & Freedom of Speech Act ( An Act to amend section 3 of the Administrative Procedure Act, chapter 324, of the Act of June 11, 1946 (60 Stat. 238), to clarify and protect the right of the public to information, and for other purposes.)
So kila mtu anayo haki ya kupata taarifa na kuongea chochote katiba inawalinda
nadhani pia yaliotokea 7 August 1998
10:30 a.m. – 10:40 a.m. Nairobi , Kenya
Dar es Salaam, Tanzania ilikuwa nayo ni Inside job ?
Nadhani taarifa zako zitakuwa zinatoka deep web au dark web ambazo watu hawana acces nazo si Visible web ambazo watu wote tunapata taarifa kupitia huko bt nadhani Freedom of information & Freedom of speech Act inafanya kazi vizuriNduyo, yote yalikuwa inside job, hata ya Kenya na Tanzania.
Umewahi kusikia AFRICOM na malengo yake. Ili kujipenyeza kwenye nchi wanazozitaka ni lazima wafanye mambo yao. Unajua nini kilitokea na ushirikiano baina ya US na Nchi hizo baada ya matukio hayo?
Fanya utafiti wako.
nimesema google 911 truth au 911 inside job utapa habari za kukutosha kujiridhisha kwamba 911 ni inside job. Unahitaji msaada gani tena?Nadhani taarifa zako zitakuwa zinatoka deep web au dark web ambazo watu hawana acces nazo si Visible web ambazo watu wote tunapata taarifa kupitia huko bt nadhani Freedom of information & Freedom of speech Act inafanya kazi vizuri
kulikuwa na haja gani ya kuquote uzi wote huu...au makusudi tu kukera watuNadhani huu utakuwa uzi bora kuusoma mwakaa huu Shukrani sana