Behind the curtain: September 11

Behind the curtain: September 11

the bold shukran sana but kuna uvumi juu ya osama kuhusishwa na CIA kama member ...but it is according to EDWARD SNOWDEN...

usisahahu kutujuza zaidi juu ya huyu nyumbu make nae ni mtata sana na anazidi kuelezea dunia kuw osama bafo yupo hai ukiachilia na ile Death hoax ya america juu ya kifo cha osama....
inasemekana kuwa Rusia bado ina mhabour Edward snowden after his frew away from CIA America..
vip kuna ukweli hapo..??
pekua pekua mkuu..humu jukwaani....simkumbuki ni nani...kati ya ..the bold,complex au ontario....alimchambua vizuri sana huyo shushushu...matandu na ukoko....
 
The bold hongera sana kaka kwa kutuletea makala ya ufahamu wapo watakaotumia kila mbinu kukukatisha tamaa lakini usiwajali ndivyo wanadamu walivyo. Wengine hatupati muda wa kupekua kwenye hayo mavitabu na ma Google but unaturahisishia sana na kutupa hamasa ya kujua mengi kuliko tungesubiri kuja kutafuta wenyewe. Big up Bro
Shukrani sana Blaki Womani I for the big support and being there always..
Lots of love to you! I really aprecaite it..
 
Back
Top Bottom