Behind the curtain: September 11

Behind the curtain: September 11

daah jumatano.mbali.bhana weka leo sehemu ya 7 mbona wakatsha utamu huo
 
Mkuu mtoa mada mimi huwa nasoma kimyakimya stori zako ni nzuri na unaziwasilisha vizuri sana.Tumia tu muda wako unaotosha kuandaa kitu kama ambavyo huwa unafanya.Ukileta bandiko kutokana na pressure ya wasomaji wako humu kuna vitu vinakosekana kwa kuwa unakuwa hujatulia ila unajaribu tu kuridhisha wenye shauku.

Bandiko lako la kwanza mpaka la tatu yapo deep sana na umeyawasilisha kwa mvuto kama kawaida yako.Lakini kuna tofauti kwa hilo la nne na la tano...ni kama vile umeandika under pressure.Kwa tunaosoma between the lines tumegundua kuna elements hazipo na ambazo ukitulia zinakuwepo.Hata spelling errors zimekuwa nyingi kwenye hayo mabandiko.

Hivyo basi nakuomba ulete kitu kikiwa kimeiva na wewe ukaridhika kuwa kimeiva.Hata kama muda ulioahidi umepita kama bado hakipo tayari usiforce mkuu.Tunaelewa una majukunu mengine so kuwa humu ni kama kurelax flani tuu.We leta kwa muda wako mkuu hata ikipita wiki tangu uahidi.Hii ni kutaka tu kumaintain ubora wa mabandiko mkuu.Thanx
 
Hadi hapa nilipofikia ktk simulizi ya nyuma ya pazia ya september 11, nimetokea kumkubali Atta kinoma alaf na mimi najiona kama nipo ktk hilo tukio hatare sana, kingine nataka kuuliza hivi hadi leo hakuna jamaa ambao wame act movie kuhusu ichi anachotusimulia The Bold???
 
Salute Sana mkuu [HASHTAG]#the bold[/HASHTAG] Kuna makala moja hivi siikumbuki niliwahi kuisoma somewhere kwamba bin laden licha ya kuwa shabiki mkubwa WA Arsenal pia alikuwa shabiki mkubwa WA Whitney Houston,alimpenda mno Whitney kiasi kwamba ilifika mahali akaamrisha mkewe awe anaset nywele kama Whitney,Japo upande WA pili tunaambiwa jamaa aliupinga Sana umagharibi hii imekaaje mkuu,
 
Back
Top Bottom