Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Mkuu The bold nami usinisahau katika ufalme wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaaaa nyie watu bwana?
Halafu mimi ndio muhasibu wake sasa,heheheeee [emoji39] [emoji39]
Amen! Shukrani..nimeifuma fastaaaa .....kaka ubarikiwe mnoooo
Karibu sana mkuu! Shukrani..Mmmmmh! Kweli huu ni uhondo, mapemaa tu nami nimeuotea leo.
Kubali san kaz zako the Bold, kuna kitu kinazid kufunguka kchwani humu.....sio mchezo, kuna siri kubwa hapa....
Kazi njema mkuu, nasubiria j'tano.
Pamoja sana chief..Thanks bruh kwa kunitag
Nitafanya hivyo mkuu..The say sijaiona mkuu, Fanya hivyo Basi maana package nimeipata kwa taab sana
Pamoja chief..seen mkuu...!!!...nakukubali mnoo...!!!...
Hahaha! Pamoja sana comrade..safi mkuu the bold, uswahilini twasema kitu mwakemwake
Hahahah! Mkuu jay-millions wenyewe wakiamka utatafuta kwa kujificha [emoji1]episode fikirishi sana, nakosa imani na hawa CIA, mbinu zao kama green guard