Behind the curtain: September 11

Behind the curtain: September 11

Yaani hapa nishatandika jamvi langu, nikiwa na maboga yangu, kisamvu pembeni, maji yaliyotoka mtungini yakiwa kwenye kibuyu, na kajiulanzi kwa mbaaaaali nikikamilisha safari nzuri ya maboga huku nikiwa nasubiria sehemu ya 12 ishushwe na mtaalam The bold

Hizi makitu ukiwa unapendelea sana mahoma ya ajabu ajabu unayakwepa kbsa
 
Tuweni wavumilivu jmn! Kwakuwa aliahidi ijumaa bas bila shaka yupo anaandaa vzur muendelezo....

Mambo mazur hayataki haraka waungwana.
 
WAKUU,



KUTOKANA NA SABABU FULANI FULANI ZILIZO NJE YA UWEZO WANGU, SITAWEZA KUWALETEA SEHEMU YA 12 YA MFULULIZO WA MAKALA HII YA "BEHIND THE CURTAIN: SEOTEMBER 11" SIKU YA LEO.


BADALA YAKE NITAWALETEA SEHEMU HIYO YA 12 (AMBAYO ITAKUWA SEHEMU YA MWISHO KUHITIMISHA MAKALA) SIKU YA JUMANNE..



KUMRADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA.!!



The Bold
 
Leo ijumaa, nimeshafika eneo la tukio

Yaani hapa nishatandika jamvi langu, nikiwa na maboga yangu, kisamvu pembeni, maji yaliyotoka mtungini yakiwa kwenye kibuyu, na kajiulanzi kwa mbaaaaali nikikamilisha safari nzuri ya maboga huku nikiwa nasubiria sehemu ya 12 ishushwe na mtaalam The bold

Leo mapemaaaa huku nasubiri biriani

Unajua hii kitu kama itaenda kuumbua ile operesheni ya Geranimo E.K.I.A

Mkuu the Bold tunasubiri mzigo wa ijumaa vipi?

Waiting for.......12

Tuweni wavumilivu jmn! Kwakuwa aliahidi ijumaa bas bila shaka yupo anaandaa vzur muendelezo....

Mambo mazur hayataki haraka waungwana.

popcorn ziko tayari bado movie tu kuanza

WAKUU,



KUTOKANA NA SABABU FULANI FULANI ZILIZO NJE YA UWEZO WANGU, SITAWEZA KUWALETEA SEHEMU YA 12 YA MFULULIZO WA MAKALA HII YA "BEHIND THE CURTAIN: SEOTEMBER 11" SIKU YA LEO.


BADALA YAKE NITAWALETEA SEHEMU HIYO YA 12 (AMBAYO ITAKUWA SEHEMU YA MWISHO KUHITIMISHA MAKALA) SIKU YA JUMANNE..



KUMRADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA.!!



The Bold
 
WAKUU,



KUTOKANA NA SABABU FULANI FULANI ZILIZO NJE YA UWEZO WANGU, SITAWEZA KUWALETEA SEHEMU YA 12 YA MFULULIZO WA MAKALA HII YA "BEHIND THE CURTAIN: SEOTEMBER 11" SIKU YA LEO.


BADALA YAKE NITAWALETEA SEHEMU HIYO YA 12 (AMBAYO ITAKUWA SEHEMU YA MWISHO KUHITIMISHA MAKALA) SIKU YA JUMANNE..



KUMRADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA.!!



The Bold
Poa kiongozi.
 
WAKUU,



KUTOKANA NA SABABU FULANI FULANI ZILIZO NJE YA UWEZO WANGU, SITAWEZA KUWALETEA SEHEMU YA 12 YA MFULULIZO WA MAKALA HII YA "BEHIND THE CURTAIN: SEOTEMBER 11" SIKU YA LEO.


BADALA YAKE NITAWALETEA SEHEMU HIYO YA 12 (AMBAYO ITAKUWA SEHEMU YA MWISHO KUHITIMISHA MAKALA) SIKU YA JUMANNE..



KUMRADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA.!!



The Bold
me ngoja ninywe jagi moja la maji kwanza.....ili akili yng irudi kawaida....[emoji19] [emoji19] ....kwanza.....
kwa ujumbe huo.....
 
WAKUU,



KUTOKANA NA SABABU FULANI FULANI ZILIZO NJE YA UWEZO WANGU, SITAWEZA KUWALETEA SEHEMU YA 12 YA MFULULIZO WA MAKALA HII YA "BEHIND THE CURTAIN: SEOTEMBER 11" SIKU YA LEO.


BADALA YAKE NITAWALETEA SEHEMU HIYO YA 12 (AMBAYO ITAKUWA SEHEMU YA MWISHO KUHITIMISHA MAKALA) SIKU YA JUMANNE..



KUMRADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA.!!



The Bold
dah umeharibu siku mkuu
 
WAKUU,



KUTOKANA NA SABABU FULANI FULANI ZILIZO NJE YA UWEZO WANGU, SITAWEZA KUWALETEA SEHEMU YA 12 YA MFULULIZO WA MAKALA HII YA "BEHIND THE CURTAIN: SEOTEMBER 11" SIKU YA LEO.


BADALA YAKE NITAWALETEA SEHEMU HIYO YA 12 (AMBAYO ITAKUWA SEHEMU YA MWISHO KUHITIMISHA MAKALA) SIKU YA JUMANNE..



KUMRADHI KWA USUMBUFU ULIOJITOKEZA.!!



The Bold
Hata iwe mwakani nasubiri kama gazeti la sani Zamani,enzi za kina zumo mzee ole mayuku etc
 
Back
Top Bottom