Behold! The best railway in Africa!

Behold! The best railway in Africa!

kitu ambacho mleta mada hajui ni kwamba soga ni mji mdogo sana unaopatikana nje ya mkoa wa dar es salaam. na ni mwendo wa kilomita 50 kwa gari kutoka eneo ambalo sgr inaanzia mpaka kufika soga.
Screenshot_2019-02-18-09-43-43-587_com.google.android.apps.maps.jpeg
 
Aisee, hiki kitu na cha kienyeji kupindukia! [emoji1] Mturuki bana, ajue tu kwamba mungu anamuona. [emoji23]
 
Tanzanians are funny people...anyway wacha tuone hii kitu ikiisha.
Magu is taking these guys round and round.. no wonder he banned any contrary stats being released by anyone from TZ.

Very soon he will ban photos of the SGR on social media.

WaBongo, mtaambia nini watu 😀😀
 
Now they are all over with excuses this and excuses that.....Hi wameoshwa
 
Kuna haja gani ya kuwa na Stations kubwa eneo ambalo halina watu??

Kama ni kuwa na stations kubwa sisi tulikuwa wa Kwanza tulipojenga TAZARA Dar es Salaam, lakini still mpaka leo ipo under capacity....
Hao ni kawaida yao kujenga bila kuangalia demand ya mahali hahahaha makenya ndio maana yanaibiwa na wachina kwa kutaka sifa bila uhalisiaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ni kawaida yao kujenga bila kuangalia demand ya mahali hahahaha makenya ndio maana yanaibiwa na wachina kwa kutaka sifa bila uhalisiaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti demand. Miundo mbinu kama hii ni ya kudumu kwa miaka mingi alafu lengo kuu huwa ni kuinua sehemu zote inazopita kihali na kimali. Nyinyi mnajenga mkitizama uchaguzi mkuu unaowadia? Wenzenu wanajenga miundo mbinu ya miaka ya baadaye kabisa.
 
Eti demand. Miundo mbinu kama hii ni ya kudumu kwa miaka mingi alafu lengo kuu huwa ni kuinua sehemu zote inazopita kihali na kimali. Nyinyi mnajenga mkitizama uchaguzi mkuu unaowadia? Wenzenu wanajenga miundo mbinu ya miaka ya baadaye kabisa.
😀😀 hii thread watanzania wanasomea calculus ili waje na hesabu zao kwenye majibu.. Kiswahili cha kawaida hakitoshi
 
A station is not a train.

Please look for the render for pugu station and you will find out that it's the same shape.

Being a station serving a smaller population, it's obvious that it's going to be smaller. Otherwise why waste money to build an underused white elephant. You seem to luck basic knowledge of the function of a railway just like the typical jubilee blogger!!

The finishings are not yet done.
WACHA UPUSS KILAZA! The fertility of a piece of land is known by one yam. Hii kitu yenu from the strart looks bogus and substandard to say the list so kushinda ukituambia sijui ati jubilee huku ukisahau CCM ndio wanajenga upussy huko utuachishe....kubali yenu ni white bogus elephant.
 
Back
Top Bottom