SI KWELI Bei elekezi ya ARV ni Tsh. 76,000 baada ya USAID kusitisha misaada

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Tanzania is a sovereign state, tunalipa kodi, kwa nini tutegemee kodi za wananchi wa marekani kuendesha na kusimamia mifumo yetu ya afya???

Mbona Kodi zetu zinatosha kununua ndege ya Raisi, V8 new models za viongozi wa Kiserikali kila mwaka, tunaweza kununua magoli yanayofungwa na timu zetu Simba na Yanga kwenye michezo ya kimataifa n.k.

Siku tukiamka tukakuta marekani imetoweka kwenye uso wa dunia huo ndio utakuwa mwisho wetu pia???!!!
 
Tunaokuka pipi Kila siku ndoto za parapanda ni nyingi kichwana.

Nawaza kufuata dozi mwaka, za waliokufa na kukimbia matibabu.

Tafadhali sana, Dr mwigulu anzisha tozo ya arv kwenye vocha, umeme, mafuta na miamala yote.
 
Trump kaza hapo hapo mwanawane....wacha waafrika wafe tuu hawana maana yoyote hapa duniani.
Yaani kwanza trump unapaswa na kuwazibia waafrica marais kuingia states kwa mwaka mmoja wafanye mambo nchini mwao. Wale watakao onyesha kustaarabika ndio unawaondolea kikwazo kwa sharti la kuingia state kwa ndege za abiria sio private jets
 
Kodi zetu sisi sijui zinaenda wapi au hatuna Kodi au hazitoshi?, tunategemea jasho la watu wa USA, huu si ndo uchawi pro heaven.
 
Kama ni kweli basi tutarajie vifo vitakavyo tokana na slim & juliana vitaongezeka, maana hakuna familia ambayo haijaguswa na HIV
 
Kama MUNGU yupo na anataka watu wake waishi mlango mwingine utafunguliwa,

Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu amfanyaye kuwa kinga yake.

MUNGU wetu ni mwaminifu na warehema sana .
 
Tena Trump akazie ili watu wajiheshimu.!!

Cc; mzabzab Balqior mmeona sasa endeleeni kutafuna mipira iliyokufa na kina maafisa utamu..!! 😹
Mm sina HIV coz naiogopa mno, kwahiyo mara nyingi natumia Kinga, na miaka yangu 31, sijui ladha ya papuchi ya mwanamke bila condom ikoje Lamomy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…