SI KWELI Bei elekezi ya ARV ni Tsh. 76,000 baada ya USAID kusitisha misaada

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kwa sasa wanaotumia ARV kwa Tanzania ni 1.6 Million.
Kwa sasa inadaiwa bei za ARV ni Tsh. 300,000 kwa mwezi (Full doze). Wizara yetu ya AFya ni Tsh. Trilioni 1.3. Kwa ujumla hii kitu hatuwezi ila kama tukiamua serikali ikaanza kununua magari yaliyogunduliwa na Kipanya basi tutaweza.
 
1.3trion inakusanywa na Tra ndani ya mwezi moja tu, vipaumbele vyetu sio afya ya raia, pia hatuna planners kiwanda cha kutengenexa ARV akiwezi kumaliza 10bn shilling na dawa zitakua bei nafuu kama bei ya panadol.
 
Kama una shamba andika tu URITHI wasismbuke pa kuzikia
 
Hawakuleta msaada ili watu wawe wazembe, ounguza consipiracy theory.
Before msaada wao hali ilikuwa mbaya saba kuliko.
Na USAID ilitengenezwa makusudi maana ugonjwa ulianza kuingia nchini mwao, idea was kuustop ugonjwa ukiwa huko huko kabla haujafika nchini mwao

Haya masuala sijui ya kupunguza watu, wangetaka wangeacha kuleta dawa na mngepungua vile vile
 
Kwamba walivyoleta hizo dawa huko kwao ulikua haujafika?
 
Inawezekana kwa sababu dingi yangu mdogo alikamatwa kwa kosa la kuiba arv na kuuza mtaani kwa wafugaji walimpigia bei ya 1500 kwa kidonge😀😀 kesi ilikua ya moto kweli kweli
 
Kwamba walivyoleta hizo dawa huko kwao ulikua haujafika?
Ulikuwa umeshafika but haukuwa threat kama afrika , Wao wameanza kutumia 1987, succesful waka contain maambukizi. Wakati africa hakukuwepo na dawa aina hiyo. due to migration za waafrika kwenda america waliona ni bora waka u contain nje kabla haujafika kwao ( wakiamini utakuwa ngumu kuuzuia)
Na wamefanikiwa

Wakat tz arv zimeanzq kutumia early 2000s, before the hali ilikuwa mbaya
 
Inawezekana kwa sababu dingi yangu mdogo alikamatwa kwa kosa la kuiba arv na kuuza mtaani kwa wafugaji walimpigia bei ya 1500 kwa kidonge😀😀 kesi ilikua ya moto kweli kweli
Aisee pole sana. Kesi iliishaje? Maana kwenye hayo mambo serikali dont play games kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…