Bei mbovu kuwahi kutokea ya zao la mpunga yadumu misimu miwili Tanzania

Bei mbovu kuwahi kutokea ya zao la mpunga yadumu misimu miwili Tanzania

Mauzo ya mchele yataendelea kushuka mwaka huu mchele mwingi bado upo wa msimu wa mwaka jana na mwaka huu pia wanatarajia kuvuna mchele mwingi
 
Serikali ya kisomi ya Magufuli ilishawaambia wakulima kuwa wajipangie kuuza mazao yao bei ya juu.Uzeni bei ya juu sasa,si Rais alishasema muuze bei ya juu?Au hamkumsikia?Ninyi ni viziwi?Tunaposema kuwa Tanzania haina Rais huwa hatutanii hata kidogo na muwe mnatuelewa.Uchumi huwa hauendeshwi hivyo!

View attachment 1727803

Source:https://dar24.com/magufuli-wakulima-uzeni-mazao-kwa-bei-ya-juu-sana-watwangeni-kwelikweli/
Tunauza bei ya juu 45k gunia hakuna shida
 
So ndio vizuri.[emoji34][emoji34][emoji34].
Sisi wapenda mchele tupate mteremko
 
Kwanza ujue kwamba mpunga hautapanda ila utazidi kushuka bei....

1. Stock ya msimu ulopita imejaa maghalani na mavuno yameanza

2. Wanunuzi kutoka nje hawapo na soko la ndani limeshiba.

3. Kuongezeka kwa wakulima wanaozalisha mpunga. 50% ya wakulima wa pamba kwa sasa wanalima mpunga

4. Kuongezeka kwa maeneo ya uzalishaji kahama, geita, mara,moro, tabora, rukwa, katavi, bukoba kwa sasa wanajitegemea na wanaitafuta mbea kwa kasi kwenye kilimo hiki

Kwetu sisi tunategemea by mwezi wa nne kilo itakua kat ya 700-900
 
Wakati mwingine uwe unaomba ushauri kwa my hubby wako!! Ona sasa hela imekaa tu ghalani!

Ile mwaka jana (2020) tungeiweka hiyo hela yote kwenye siasa, muda huu tungekuwa tunatafuna tu hela za ubunge!! Yaani ningeshinda saa mbili tu asubuhi!!

Dah!! sasa hivi ungekuwa unatembelea li Vii Eiti!! Halafu unatambulika kama Mke wa Mheshimiwa Dr. Tate Mkuu , Mbunge wa Ushoto!! 😇

All in all, never give up Mummy!! Next time bei itapanda. Si umeona walio weka shehena ya alizeti mwaka huu!! Wanaoga tu mifwedha!! Lita ya hayo mafuta kwa mashineni, yanaanzia tsh. 5000! Mtaani ni kuanzia 6000 na kuendelea!!
My babe tena kwenye siasa si unakumbuka wajumbe walichokua wanakifanya ? mwendo wa kukata tu yaani ungepata kura 2 usingeamini 😀😀bora kwenye mpunga ni kama nimetunza kipesa changu kile kile hakijaongezeka tu. Ila siasa mmh
 
Mambo ya kutunza nafaka gharani, kutegemea bei ipande, ni biashara za kizamani sana!!!
Aisee nimejifunza sasa, ila kama mambo yangeenda vizuri bei huwa inapanda faida yake ni hadi nusu ya bei uliyonunulia and for me niliamua kununua kama sehemu ya kusave pesa yangu pia maana nisingenunua ningekua nishaitumia hiyo pesa kwa vitu vingine ila safari hii🙌
 
Bora bei iendelee kushuka wengine makwetu pakipikwa ubwabwa hakuna anayetoka yaani ni anasa.
 
Ukilima eneo kubwa inarudisha mtaji na faida kiasi
Sijaelewe mantiki ya faida kiasi.Kwa sababu kuna tabia ya watu kufanya ulanguzi kwa kuweka mazao na kujenga uhaba ili tu wapate super profits.Hata hivyo kama inarudisha gharama na faida ambayo ni fairly reasonabl sioni tatioz ila kama inafanya kilimo kiendelee kuwa utumwa basi nafikiri serikali inabidi itafuta namna ya kutatua hili.
 
Back
Top Bottom