danja de genzo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 542
- 803
Mauzo ya mchele yataendelea kushuka mwaka huu mchele mwingi bado upo wa msimu wa mwaka jana na mwaka huu pia wanatarajia kuvuna mchele mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukilima eneo kubwa inarudisha mtaji na faida kiasiJe hio bei inarudisha gharama za uzalishaji pamoja na modest profit?
Tunauza bei ya juu 45k gunia hakuna shidaSerikali ya kisomi ya Magufuli ilishawaambia wakulima kuwa wajipangie kuuza mazao yao bei ya juu.Uzeni bei ya juu sasa,si Rais alishasema muuze bei ya juu?Au hamkumsikia?Ninyi ni viziwi?Tunaposema kuwa Tanzania haina Rais huwa hatutanii hata kidogo na muwe mnatuelewa.Uchumi huwa hauendeshwi hivyo!
View attachment 1727803
Source:https://dar24.com/magufuli-wakulima-uzeni-mazao-kwa-bei-ya-juu-sana-watwangeni-kwelikweli/
Ndio wanafanya matajiri inalipa 10kwa 2Mambo ya kutunza nafaka gharani, kutegemea bei ipande, ni biashara za kizamani sana!!!
Una mambo ya ajabu sana mzee.Serikali ya kisomi ya Magufuli ilishawaambia wakulima kuwa wajipangie kuuza mazao yao bei ya juu.Uzeni bei ya juu sasa,si Rais alishasema muuze bei ya juu?Au hamkumsikia?Ninyi ni viziwi?Tunaposema kuwa Tanzania haina Rais huwa hatutanii hata kidogo na muwe mnatuelewa.Uchumi huwa hauendeshwi hivyo!
View attachment 1727803
Source:https://dar24.com/magufuli-wakulima-uzeni-mazao-kwa-bei-ya-juu-sana-watwangeni-kwelikweli/
Hii ni sawa tu na trading mana nayo ni biashara kama biashara zingine zilivyo. Hakuna sehemu kuliko na pesa ya bureAisee nilijaribu kuingia kwenye hii business japo kidogo ila kilichotokea ni majanga bei haijapanda hata kidogo tangu msimu wa mavuno mwezi June 2020 hadi leo hii🙌
Ingekula kwangu zaidi aisee...hapo enyewe mnunuzi alikua wakutafuta kwa tochiUngeendelea kusubiri ipande tena mzee
Jamaa anajua kucheza na fursa kuliko kawaidaHuyo jamaa muache kama alivyo kijana hafanyi kwa mazoea
Yupo smart sanaJamaa anajua kucheza na fursa kuliko kawaida
My babe tena kwenye siasa si unakumbuka wajumbe walichokua wanakifanya ? mwendo wa kukata tu yaani ungepata kura 2 usingeamini 😀😀bora kwenye mpunga ni kama nimetunza kipesa changu kile kile hakijaongezeka tu. Ila siasa mmhWakati mwingine uwe unaomba ushauri kwa my hubby wako!! Ona sasa hela imekaa tu ghalani!
Ile mwaka jana (2020) tungeiweka hiyo hela yote kwenye siasa, muda huu tungekuwa tunatafuna tu hela za ubunge!! Yaani ningeshinda saa mbili tu asubuhi!!
Dah!! sasa hivi ungekuwa unatembelea li Vii Eiti!! Halafu unatambulika kama Mke wa Mheshimiwa Dr. Tate Mkuu , Mbunge wa Ushoto!! 😇
All in all, never give up Mummy!! Next time bei itapanda. Si umeona walio weka shehena ya alizeti mwaka huu!! Wanaoga tu mifwedha!! Lita ya hayo mafuta kwa mashineni, yanaanzia tsh. 5000! Mtaani ni kuanzia 6000 na kuendelea!!
Aisee nimejifunza sasa, ila kama mambo yangeenda vizuri bei huwa inapanda faida yake ni hadi nusu ya bei uliyonunulia and for me niliamua kununua kama sehemu ya kusave pesa yangu pia maana nisingenunua ningekua nishaitumia hiyo pesa kwa vitu vingine ila safari hii🙌Mambo ya kutunza nafaka gharani, kutegemea bei ipande, ni biashara za kizamani sana!!!
Sijaelewe mantiki ya faida kiasi.Kwa sababu kuna tabia ya watu kufanya ulanguzi kwa kuweka mazao na kujenga uhaba ili tu wapate super profits.Hata hivyo kama inarudisha gharama na faida ambayo ni fairly reasonabl sioni tatioz ila kama inafanya kilimo kiendelee kuwa utumwa basi nafikiri serikali inabidi itafuta namna ya kutatua hili.Ukilima eneo kubwa inarudisha mtaji na faida kiasi