Bei na tofauti ya laptop na desktop

Bei na tofauti ya laptop na desktop

Mkuu vipi kwa matumizi ya biashara ya stationery ni desktop ipi itanifaa zaidi na bei yake?
Desktop yoyote stationary inafaa hata kama specs ndogo. Kusave hela tafuta hata i3 ama i5 gen za zamani kama ya 4 hivi, Hizi unapata chini ya laki na nusu, ama pentium mpya kama gen ya 8 bei humo humo.

Then unai upgrade kulingana na mahitaji yako.
Vitu muhimu ni kama
-ssd ili kufanya machine iwe responsive na. Kazi zako ziende kwa haraka
-ram uongeze minimum 8GB ila kama budget inatosha 16GB nzuri.
-network card ili upate wifi na Bluetooth, itasaidia kuhamisha mafile bila waya hasa wateja ambao doc zao zipo kwenye simu na. Hawana cable/flash.

So roughly around laki 2 mpaka 2 na nusu unakamilisha hivyo.

Kama stationary yako unafanya na editing utahitaji machine kubwa zaidi minimum gen ya 7 intel ama machine ya juu ya gen ya zamani uinunulie gpu, kuna gpu za Quadro nzuri kwa Editing unapata laki kushuka.
 
Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb
bei ni 30,000 Tu.
ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000.
Nipo kimara Dar es Salaam
0782780980
InShot_20250112_135018104.jpg
 
Back
Top Bottom