Ushuru wa bati umepanda zaidi ya x3Sipo kisiasa.......nasema uhalisia bei ya Bati imepanda mnooo
BEI YA BANDO 1 SIMBA DUMU NI TSH.330,000/Ulipo bati bei gani?nilipo bati la kawaida geji 30 @22000.
Sasa zitoke Uganda Hadi bongo bado zinauzwa 250k je palepale Uganda itakuwa bei gani?BEI YA BANDO 1 SIMBA DUMU NI TSH.330,000/
GSM WANA 315,000/
LAKINI NEEMA KUBWA NI KWMBA KUNA BATI ZA MGANDA(UGANDA)
Zinauzwa 250,000/ zote hizo ni GAUGE 30
KODi mkuu!Sasa zitoke Uganda Hadi bongo bado zinauzwa 250k je palepale Uganda itakuwa bei gani?
Zanzibar sukari kilo 1500 ukivuka maji kuja dar 2700 tutanakwama wapi?
Umeona eeenhee! Hii nchi yetu sote ni lazima viongozi wetu walitazame hili......suala la vifaa vya Ujenzi kuwa juu wanasababisha watu kutokujenga.....na waliojenga nao wanaweka kodi juuu kama mlima Kilimanjaro!Vifaa vya ujenzi ni ghali sana serikali inapaswa kuingilia kati mtanzania wa kawaida kujenga makazi bora inaweza kuwa ngumu tofauti na miaka ya nyuma kidogo
Kutoka sh.ngapi hadi sh. ngapi?Sipo kisiasa.......nasema uhalisia bei ya Bati imepanda mnooo
Uko maeneo gani mkuu kwa maana being hiyo ni ya chini sana kwa huku kwetu geji 30 ni 300000/= sasa.Ulipo bati bei gani?nilipo bati la kawaida geji 30 @22000.
πππSasa zitoke Uganda Hadi bongo bado zinauzwa 250k je palepale Uganda itakuwa bei gani?
Zanzibar sukari kilo 1500 ukivuka maji kuja dar 2700 tutanakwama wapi?
Na hizo gauge 30 ndio wanazolia nazo hao wazee wa viwango wanasema hazina ubora, zitolewe.BEI YA BANDO 1 SIMBA DUMU NI TSH.330,000/
GSM WANA 315,000/
LAKINI NEEMA KUBWA NI KWMBA KUNA BATI ZA MGANDA(UGANDA)
Zinauzwa 250,000/ zote hizo ni GAUGE 30