rantheb
Member
- Jun 27, 2018
- 86
- 45
Wanajamvi inakuwaje Bei ya Bati iko juu mnoo kuliko hata mlima Kilimanjaro? Maana pesa ni ngumu kuipata na ukiipata bei za bidhaa mbalimbali za Ujenzi ikiwemo bati zinakuwa juu mnooo!
Tatizo ni nini? Waziri anayeshughulikia biashara na waziri wa viwanda hili hamlioni????
Punguzeni bei za bati basi.
Tatizo ni nini? Waziri anayeshughulikia biashara na waziri wa viwanda hili hamlioni????
Punguzeni bei za bati basi.