Nina mwaka wa 3 natumia godoro la GSM 5x6 nch 12 lipo katika ubora wake uleule nikionunuliaYanavutia kwa nje tu, ukilalia miezi 2 utatakuwa mmiliki wa mtumbwi. Gidoro ni qfl na comfy tu. Bei kila mkoa/ wilaya na bei yake
Naunga mkono hoja yako, mim nina la nch 12 huu mwaka wa 3 lipo kama nilivyolinunua, ni magodoro mazuri sana na imaraHii mkuu sikubaliani na wewe, mimi ninalo nchi 10 nilinunua kwenye duka lao mpaka leo lipo fresh na umeshapita mwaka mmoja sasa.
Hapo umefanya la maana Sana mana feki sokoni yamejaa. Nami niliwasiliana nao nikaenda kuchukua pale Mwanza IGOGO kwenye Godown yao. Fika ujionee magodoro ya kila aina toka Tanfoam, pesa yako tu. Pale ndo wasambazaji wa Kanda ya ziwa.Ahsanteni kwa michango yenu wadau, niliwasiliana na makao makuu ya tanfomu Arusha kiwandani, wakanielekeza kwa wakala wao Mwanza , tukawasiliana na wakala na jmatatu naenda kuchukua kwenye godown lao hapa Mwanza, bei elekezi ni 330000 godoro la tanfomu 5×6 inch 8 edge
Kkoo khapa maeneo ya fire ni 5*6 inch 8Umenunulia wapi na ni la size gani?
Kwahiyo ni wababaishaji kwasababu wanatengeneza kila kitu sio.???Hao jamaa wababaishaji tu, wanajifanya kutengenza kila kitu...
nyantumba Bado upo Chuga?nunua la 260, budget budget budget
Kweli Bro ni TANFOAM kitu halisi cha Arusha au magumashi?Kkoo khapa maeneo ya fire ni 5*6 inch 8
👏👏👏Kwahiyo ni wababaishaji kwasababu wanatengeneza kila kitu sio.???
sure....mm ilinikuta kwenye godoro la comfyMkuu godoro jingine unalalia ndan ya miez sita lishatengeneza mtumbwi katikati
Si mbaya sana japo Dar ni 260,000 na Mikoani Kwa Wakala ukilia lia ni 277,000.Wakuu mi nimechukua Tanfomu inch 8, 5*6 Kwa 300000 Kwa wakala mkuu Tanfomu Lake zone, hongereni Kwa michango Yenu
Yapo ya mtumba kutoka majuu nayo mazuri...
Wakuu mi nimechukua Tanfomu inch 8, 5*6 Kwa 300000 Kwa wakala mkuu Tanfomu Lake zone, hongereni Kwa michango Yenu
Mkuu hamna kitu napenda kama kitu Bora et , hapa penyewe najipanga kununua mziki wa Sony tz 40, miziki ya kichina China sjui kodtec, sea piano, boss n.k hapana Kwa kweli, kuhusu godoro la Tanfomu nilienda maduka ya mtaani wanauza 250k, nikaenda kwenye duka moja kubwa kdogo jamaa akanambia 300K, nikamwambia mbna wengne wanauza Kwa 250, akasema hyo ni paste , akasema kama nahtaji hzo yeye atanipa Kwa 230K, but Kwa Tanfomu og mwisho ni 300k, ....Pole mkuu, umeliwa patamu mno.... sema fresh tu ‘mpaka mjukuu atalitumia’.
sehem gani mkuu mi jana nimezunguka sana na sijapatazenj
Boss kweli kuna godoro za mtumba zinaingia Tz na kuuzwa?Yapo ya mtumba kutoka majuu nayo mazuri...
Wapi ulinunulia kwa hapa darMimi nimenunua 260,000 Tanform Og
Wote ma feki tu hadi sisi wanumuziWakuu nataka kununua godoro bora, na sio la kuumiza mgongo, katika kutafuta taarifa humu nikagundua Magodoro ya Tanfomu na QFL magodoro Dodoma ndo the best,
Kama kawaida nikaingia mtaani kusaka godoro la inch 8, 5×6..
Kwa kampuni zote mbili, Wengine wanauza 260000, wengine wanauza 300000, nilipomuuliza anayeuza 300000 kuwa kwa nn wengine wanauza 260000 na yeye kangangania piga ua mwisho 300000, akadai hayo ya 260k ni fake,
Naomba msaada kwa waliowah kununua haya magodoro upande wa bei, je bei ya 300k kwa inch 8 , 5×6 ndo bei yenyewe au miyeyusho,
Natanguliza shukrani