Bei ya internet Tanzania ni zaidi ya mara mbili ya Kenya

Ni kweli wakenya wanapenda kutembea huku kwetu napo huo utamaduni upo ila kwa ndani ya nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli wakenya wanapenda kutembea huku kwetu napo huo utamaduni upo ila kwa ndani ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimeishi Tanzania bro, napafahamu fika, nawajua sana mlivyo, huo utamaduni wa kutembelea maeneo haupo kwenu kabisa, ndio juzi tu mumeanza kuhamasishana, mara waziri anatalii sehemu kama ameambatana na wasanii. Fanya utafiti uwashtukize Watanzania wengi hata ofisini uwaulize maswali ya msingi kama kivutio gani cha utalii wamewahi kwenda kukitembelea, utashangaa sana, wengi mnaishia kwenye bar, chips mayai, mishkaki, beer siku zinaenda.

Pia hata utamaduni wa watu kusafiri kwenda kwao vijijini musimu huu haupo kwenu, jamii moja ya Wachagga tu ndio hukumbuka kwao na huwa mnawasema sana kwa hili, mkisema eti wanakwenda kutambika. Njoo hapa Kenya miji yote hubaki tupu utadhani ni 'ghost towns', watu wamerudi kwao vijijini, wengine wameenda kutalii maeneo tofauti ya nchi, na kunao wamekusanyika makundi makundi wanakodi mabasi na kufanya road trips hadi nje ya nchi, kunao wamekuja hadi Zanzibar, Arusha na kote kote.

Kwa kifupi tunajituma mwaka wote, ila ikifika msimu huu tunajiachia kwa raha zetu.
 
Hizi taarifa zinahitaji akili kuzielewa, usijibu kwa kuwaza kuhusu offers na vifurushi vya makampuni.
mikenya bana!hapo sembe hakuna na majibhayatoki kwako upo bize kuweka rates za internet
 
mikenya bana!hapo sembe hakuna na majibhayatoki kwako upo bize kuweka rates za internet
Pole naona Krisimasi imekuharibikia, ila sisi wengine huku ni full bata muda huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…