Bei ya kilo ya Prickly pears tunda ni sh 31,000/ wale wa kule kwetu haya ni mengi sana karibuni.

Bei ya kilo ya Prickly pears tunda ni sh 31,000/ wale wa kule kwetu haya ni mengi sana karibuni.

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Screenshot_20250125_194159_com.android.gallery3d.jpg



Nisha wahi kuja na post kuhusu haya matunda. Haya matunda yanalimwa comercialy na watu wa mbele hawa wanayapenda sana, Ni matunda tiba, Niliwahi leta uzi wake humu, coment zikawa ni kule kwetu haya ni mengi sana.
Screenshot_20250125_194154_com.android.gallery3d.jpg

Hii ni Jana nilikutana nayo Shoppers.

Prickly pears ingawa pia kuna highbrid yake ila still yale ya kule kwetu haya ni mengi sana badi yanafaa sana. Souyj Africa ndio exporter mkubwa wa prickly pears kwa Africa. Pia yale majani yake ni dili kubwa sana.
Screenshot_20250125_194204_com.android.gallery3d.jpg
 
View attachment 3213840


Nisha wahi kuja na post kuhusu haya matunda. Haya matunda yanalimwa comercialy na watu wa mbele hawa wanayapenda sana, Ni matunda tiba, Niliwahi leta uzi wake humu, coment zikawa ni kule kwetu haya ni mengi sana.
View attachment 3213835
Hii ni Jana nilikutana nayo Shoppers.

Prickly pears ingawa pia kuna highbrid yake ila still yale ya kule kwetu haya ni mengi sana badi yanafaa sana. Souyj Africa ndio exporter mkubwa wa prickly pears kwa Africa. Pia yale majani yake ni dili kubwa sana.
View attachment 3213841
Yana shughuli gani mwilini?
 
Back
Top Bottom