Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Havina maajabu mkuu.Mkuu, I'm sure haujapata tu pesa.
Na hata ukija kuwauliza hao walio nunua huko Mbezi, lazima walipata pesa kwanza ndipo wakanunua viwanja vya bei ghali.
Mbezi Beach hakuna Kiwanja sasa hivi ndugu. Na ukitaka basi umfungashie mtu ambapo lazima atakuchaji si chini ya milioni 50Sasa Mbezi beach utapafananishaje na Mbagara
Mambo mengine umezidisha. 400 square nimejenga nyumba ya chumba 2 moja ikiwa Master na sebure huku pembeni nimejenga chumba mbili na nafasi ya parking gari moja imebaki.Kwanza ukajifunze maana ya LOW DENSITY kiwanja cha square meter 1500 kuendelea
na viawanja vya HIGH DENSITY changanyikeni square meter 400 hata parking hakuna ni baiskeli tu zinapita, wenyeji mnashida kwenye madirisha ya wenzetu km vibaraza, mkisilikiza wanachoongea wakilala, miundo mbinu hakuna, majisafi kwa majitaka hakuna mnasubiri mafuriko ya mvua
acha wenye pesa waiiwekee mafence / maukuta ya kozi 12 na alarm mlinzi na magari hao ndio wenye pesa (niseme ndio wenye akili wajipumzishe
Punguza jeuri mzee...!Yan kwel mm natokea kwetu kaskazini nifike ubungo niende chamaz mbagala kweli na wamakonde wafikie wapi.
karo hapo huna ila choo cha shimo, masika yasipokuja na mafuriko mtaa mzima harufuMambo mengine umezidisha. 400 square nimejenga nyumba ya chumba 2 moja ikiwa Master na sebure huku pembeni nimejenga chumba mbili na nafasi ya parking gari moja imebaki.
Kwani kwa mujibu wa wizara ya ardhi, ardhi inayofaa kujengwa Nyumba inapaswa kuwa na ukubwa gani?karo hapo huna ila choo cha shimo, masika yasipokuja na mafuriko mtaa mzima harufu
kama huna uwezo hata wa kupanga nyumba bora basi
ila p/se usijenge nyumba eti na wewe umeshika ardhi 400sq/m kweli?
kwanini usitafute Ubungo Kimara mpaka Kibaha, unapata eneo kubwa unalima kahawa na migomba, safari ikiwadia unapakilia barabaraniYan kwel mm natokea kwetu kaskazini nifike ubungo niende chamaz mbagala kweli na wamakonde wafikie wapi.
serikali haikatazi kujenga nyumba katika squattersKwani kwa mujibu wa wizara ya ardhi, ardhi inayofaa kujengwa Nyumba inapaswa kuwa na ukubwa gani?
Usijifanye mjuaji kuliko serikali
A squatter is a person who settles in or occupies a piece of property with no legal claim to the property. A squatter lives on a property to which they have no title, right, or lease. [/QUOTE]
Vibaya hivyo mwakwetu.Kwanza ukajifunze maana ya LOW DENSITY kiwanja cha square meter 1500 kuendelea
na viawanja vya HIGH DENSITY changanyikeni square meter 400 hata parking hakuna ni baiskeli tu zinapita, wenyeji mnashida kwenye madirisha ya wenzetu km vibaraza, mkisilikiza wanachoongea wakilala, miundo mbinu hakuna, majisafi kwa majitaka hakuna mnasubiri mafuriko ya mvua
acha wenye pesa waiiwekee mafence / maukuta ya kozi 12 na alarm mlinzi na magari hao ndio wenye pesa (niseme ndio wenye akili wajipumzishe
Sio kweli.. Nyumba ninayojenga Chanika (residential house) hata Masaki haipo...Hivi ukijenga Mbezi, Kigamboni au Huko Bunju ndani unapata huduma za jamii bure?
Mbona watu wanauziwa ardhi kwa bei kubwa sana?
Pesa ya Kiwanja tu unapata Nyumba nzuri tu Mbagala, Chanika na viunga vyake. Mimi nilinunua kiwanja 400 square miter chanika kwa 1 M. Tu tena kimepimwa. Nilinunua Pugu kilichopimwa pia kwa 3m tu 625 square metre.
Mimi sifanyi ujinga wa kununua kiwanja milioni 10 au hishirini kisa tu kiko Mbezi tena hiyo Mbezi unapelekwa huko ndani ndani.
NA KABURI NI LILE ILEVibaya hivyo mwakwetu.
Tupo wa passport size, na kura yetu ni ile ile moja.
Ni kweli kabisa.NA KABURI NI LILE ILE
Usukumani sina uhakika wanajenga vyoo vya western type vya kukaa katika vyumba vyao
hata hivi vya kuchuchumaa
sanasana ni nje kwenye mihogo
lkn km ulivyosema tukifa kaburi ni udongo hata km una kinjinjio cha kupiga kura
Naona ni chaguo la mtu na kwa wakt huo anaweza fanikisha eneo gani, maana ukisema chanika toka nasoma mpaka sasa hv viwanja huwa ni 1M to 1.5M kwa hizo 400, unaona ni sehemu haikua na ni mbali na mjini city centre, nahisi pia watu hawavutuwi..na usafri wa kurudi mikoani ni mgumu tofauti na main road hata ya kusini, au kaskazini....Hivi ukijenga Mbezi, Kigamboni au Huko Bunju ndani unapata huduma za jamii bure?
Mbona watu wanauziwa ardhi kwa bei kubwa sana?
Pesa ya Kiwanja tu unapata Nyumba nzuri tu Mbagala, Chanika na viunga vyake. Mimi nilinunua kiwanja 400 square miter chanika kwa 1 M. Tu tena kimepimwa. Nilinunua Pugu kilichopimwa pia kwa 3m tu 625 square metre.
Mimi sifanyi ujinga wa kununua kiwanja milioni 10 au ishirini kisa tu kiko Mbezi tena hiyo Mbezi unapelekwa huko ndani ndani.