Bei ya kiwanja Mbezi, Bunju au Kigamboni unapata nyumba Chanika au Mbagala

Bei ya kiwanja Mbezi, Bunju au Kigamboni unapata nyumba Chanika au Mbagala

Mkuu, I'm sure haujapata tu pesa.

Na hata ukija kuwauliza hao walio nunua huko Mbezi, lazima walipata pesa kwanza ndipo wakanunua viwanja vya bei ghali.
Huyu ni wivu unamsukutua! atakufa nacho kijibaaaa cha roho[emoji24][emoji30][emoji849]
Pesa hana na walio nazo pia kina muuma[emoji849]
 
Mimi ndugu yangu kanunua kiwanja mbweni ambacho kinapakana na bahari usawa wa mita 100 kwa sh mil.200
 
karo hapo huna ila choo cha shimo, masika yasipokuja na mafuriko mtaa mzima harufu
kama huna uwezo hata wa kupanga nyumba bora basi
ila p/se usijenge nyumba eti na wewe umeshika ardhi 400sq/m kweli?
Hii inaitwa Mjini hakukaliki! na kijijini hakuendeki!

Kwani lazima jamani turundikane wote mjini?
 
Dah yani hakuna hata mmoja aliyeunga mkono hoja ya mleta uzi 😂🤣
 
Sure kiwanja chanika bei chee kishenz kuna mshikaj wang,alinunua kiwanja laki 8 mwaka juzi aisee sikuamini,,alinishawishi na mm ninunue ila nakuona kumekaa kushoto sana yaan
 
Hii ni dalili kuwa JF ni high Social class isipokuwa mleta Mada.

ushauri;

ahamie kwa wenzake kuleee FB.
Wengine humu hata viwanja hawana ila wanajifanya matawi ya juu.
Kuna mmoja namjua ni dalali kapondea maisha ya sehemu nilizotaja, hana hata nyumba. Nimetumia account ambayo yeye haijui that's why kakomenti kwa ujasiri
 
Wengine humu hata viwanja hawana ila wanajifanya matawi ya juu.
Kuna mmoja namjua ni dalali kapondea maisha ya sehemu nilizotaja, hana hata nyumba. Nimetumia account ambayo yeye haijui that's why kakomenti kwa ujasiri
Afadhali anajua pa kujenga, ana mipango mizuri bado anakusanya ziwe nyingi, siku isokuwa na tarehe ataenda kujenga kwa wenzake Mbezi. hata Lady JD aliimba kabla y a Diamond lkn nani zidi? kutangulia si kufika ndg.
 
Wengine humu hata viwanja hawana ila wanajifanya matawi ya juu.
Kuna mmoja namjua ni dalali kapondea maisha ya sehemu nilizotaja, hana hata nyumba. Nimetumia account ambayo yeye haijui that's why kakomenti kwa ujasiri
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hello JF,
nimeona kwa kuchangia,nina nyumba nauza mbezi beach upande wa masana njia ya goba.kitua cha nne kutoka hospitali ya masana mbezi beach.kwa mawasiliano zaidi 0713246244.
maelezo kwa ufupi:-Bei mil 60.
vyumba viwili,kimoja master kubwa na choo kikubwa,kuna heater maji ya moto,sebule na dinning kubwa,kuna A/c mbili,moja master nyingine sebuleni inasambaza nyumba nzima.jikoni kuna shelf za vyombo na maji yameunganishwa yanatoka ikiwa yamejazwa kwenye tank,kuna tank la lita 3000,get la kuslide na uwanja wa kupaki magari mawili makubwa.imezungushiwa ukuta nyumba nzima na kuna store yakuwekea vitu kwa nje kama atahitaji.karibu kwa maelezo zaidi na picha.pia ukitaka kuona sehemu.mimi ndie mmiliki sio dalali.asante wadau.

D3A1DD4D-BE9F-4948-A217-1A26068FADD0.jpeg


B16A5C7B-07CD-4781-9172-CEEB7F5A8257.jpeg


2A51E080-61FE-43DB-BD6D-B8AC82EC31A8.jpeg
 
Kwenye maisha kila mtu anaishi Kwa kipato chake na urefu wa kamba kufikia pesa. Hata mwana science Drawing alisema kitu "Survival for the fittest" kila mtu kwenye mazingira yake. Kuna tulioanza kwa kupambana tukaanzia nyumba za kupanga huko uswahilini baadaye tuka upgrade kupanga maeneo mazuri then tukajenga nyumba ya kuanzia maisha ya kawaida na tukaendelea kupambana na ndiyo tuko Mbezi, Mbweni, Kigamboni n.k na huko uswahilini Kwa SQM 400 haturudi tena.
Muhimu kwenye maisha ni kupambana hakuna namna. Kama huna pesa unazutafuta kihalali tu na pesa ipo ukijua mbinu sahihi za kupata ili iwe stable money na si ya kipigaji maana huwa zina laana.

Kwa misingi hiyo hata watoto wangu hawawezi kuishi huko kwa SQM400 Kwa sababu nilishawaonesha njia.
Hivyo usishangae mtu kuishi Mbezi bali jiulize au jifunze alivyoweza kufika huko ili na wewe ukazane.

Ila ni lazima ujiwekee malengo na uyafanyie KAZI. Nilijisemea ni lazima niishi kwa matajiri na mimi nikakazana na niko nao huko tunakula Oxygen ya Mungu Bure.

Pambana.
 
Hello JF,
nimeona kwa kuchangia,nina nyumba nauza mbezi beach upande wa masana njia ya goba.kitua cha nne kutoka hospitali ya masana mbezi beach.kwa mawasiliano zaidi 0713246244.
maelezo kwa ufupi:-Bei mil 60.
vyumba viwili,kimoja master kubwa na choo kikubwa,kuna heater maji ya moto,sebule na dinning kubwa,kuna A/c mbili,moja master nyingine sebuleni inasambaza nyumba nzima.jikoni kuna shelf za vyombo na maji yameunganishwa yanatoka ikiwa yamejazwa kwenye tank,kuna tank la lita 3000,get la kuslide na uwanja wa kupaki magari mawili makubwa.imezungushiwa ukuta nyumba nzima na kuna store yakuwekea vitu kwa nje kama atahitaji.karibu kwa maelezo zaidi na picha.pia ukitaka kuona sehemu.mimi ndie mmiliki sio dalali.asante wadau.

View attachment 1846747

View attachment 1846748

View attachment 1846749
Ukubwa wa kiwanja tafadhali. Mpaka kituo cha 4 siyo Goba huko?
 
Back
Top Bottom