hapana sio goba,kituo kinaitwa,kwa sanya.kutoka masana hadi kwenye eneo ni Tsh 1500/- kwa toyo..karibuUkubwa wa kiwanja tafadhali. Mpaka kituo cha 4 siyo Goba huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana sio goba,kituo kinaitwa,kwa sanya.kutoka masana hadi kwenye eneo ni Tsh 1500/- kwa toyo..karibuUkubwa wa kiwanja tafadhali. Mpaka kituo cha 4 siyo Goba huko?
Kwa hiyo unadhani anayeishi chanika ni sawa na masaki au mbezi beach,nitajie kiongozi au mtu maarufu anayeishi chanikaHivi ukijenga Mbezi, Kigamboni au Huko Bunju ndani unapata huduma za jamii bure?
Mbona watu wanauziwa ardhi kwa bei kubwa sana?
Pesa ya Kiwanja tu unapata Nyumba nzuri tu Mbagala, Chanika na viunga vyake. Mimi nilinunua kiwanja 400 square miter chanika kwa 1 M. Tu tena kimepimwa. Nilinunua Pugu kilichopimwa pia kwa 3m tu 625 square metre.
Mimi sifanyi ujinga wa kununua kiwanja milioni 10 au ishirini kisa tu kiko Mbezi tena hiyo Mbezi unapelekwa huko ndani ndani.
Didas masaburi mzee Yusuph philip mpango hao ni wachache na kuna wachezaji wa simba wanajenga ila bado hawajamaliza ujenziKwa hiyo unadhani anayeishi chanika ni sawa na masaki au mbezi beach,nitajie kiongozi au mtu maarufu anayeishi chanika
Didas masaburi alimjengea mchepuko wake tu huko .huyo mpango ana umaarufu gani mjini,Didas masaburi mzee Yusuph philip mpango hao ni wachache na kuna wachezaji wa simba wanajenga ila bado hawajamaliza ujenzi
Siwezi kununua kiwanja cha square m400 chanika kwa milioni mzee wakati msanga huko uzaramoni hiyo milioni napata heka mbili kwani huduma za kijamii hapo chanika napo ni bure mpk wauze viwanja bei ghali ivyo??Hivi ukijenga Mbezi, Kigamboni au Huko Bunju ndani unapata huduma za jamii bure?
Mbona watu wanauziwa ardhi kwa bei kubwa sana?
Pesa ya Kiwanja tu unapata Nyumba nzuri tu Mbagala, Chanika na viunga vyake. Mimi nilinunua kiwanja 400 square miter chanika kwa 1 M. Tu tena kimepimwa. Nilinunua Pugu kilichopimwa pia kwa 3m tu 625 square metre.
Mimi sifanyi ujinga wa kununua kiwanja milioni 10 au ishirini kisa tu kiko Mbezi tena hiyo Mbezi unapelekwa huko ndani ndani.
tunaye Philip Mpango ukunitajie kiongozi
Ile barabara wanaijenga sasa hivi toka awe makamo wa raisiDidas masaburi alimjengea mchepuko wake tu huko .huyo mpango ana umaarufu gani mjini,
tunaye Philip Mpango u
Unafikiri ni kwa nini bilionea SS Bakhresa alipofanya Kariakoo ndiyo makazi yake, watu walimpinga na kumtaka akakae Masaki na alifanya hivyo?Hivi ukijenga Mbezi, Kigamboni au Huko Bunju ndani unapata huduma za jamii bure?
Mbona watu wanauziwa ardhi kwa bei kubwa sana?
Pesa ya Kiwanja tu unapata Nyumba nzuri tu Mbagala, Chanika na viunga vyake. Mimi nilinunua kiwanja 400 square miter chanika kwa 1 M. Tu tena kimepimwa. Nilinunua Pugu kilichopimwa pia kwa 3m tu 625 square metre.
Mimi sifanyi ujinga wa kununua kiwanja milioni 10 au ishirini kisa tu kiko Mbezi tena hiyo Mbezi unapelekwa huko ndani ndani.
Neighborhood ni muhimu sana, hiyo ndio itaamua watoto wako watakuwaje, usitegemee uwaweke Mbagala halafu wasiwe na tabia za Mariam wa Migomba ila wakikaa Kimara ndio watakuwa kama Sia KanzaHivi ukijenga Mbezi, Kigamboni au Huko Bunju ndani unapata huduma za jamii bure?
Mbona watu wanauziwa ardhi kwa bei kubwa sana?
Pesa ya Kiwanja tu unapata Nyumba nzuri tu Mbagala, Chanika na viunga vyake. Mimi nilinunua kiwanja 400 square miter chanika kwa 1 M. Tu tena kimepimwa. Nilinunua Pugu kilichopimwa pia kwa 3m tu 625 square metre.
Mimi sifanyi ujinga wa kununua kiwanja milioni 10 au ishirini kisa tu kiko Mbezi tena hiyo Mbezi unapelekwa huko ndani ndani.
Kweli mzeekila mbuzi na ale urefu wa kamba yake wengine tumechagua maeneo haya kwa siku zijazo haitakuwa tena milioni 10. ni milioni 50.
"Ishi nao kwa wema lakini usiwaamini"
Hahaha hatari sanaNeighborhood ni muhimu sana, hiyo ndio itaamua watoto wako watakuwaje, usitegemee uwaweke Mbagala halafu wasiwe na tabia za Mariam wa Migomba ila wakikaa Kimara ndio watakuwa kama Sia Kanza
Muongozo weweKuna maeneo bado yapo sio kwa Bei kubwa sana huko bunju. Mfano mwabepande,kinondo nk.hata milioni na nusu sqr miter 400 unapata