Magnificient
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,162
- 705
Habari kwa woote wadau wa jf! Naomba kusaidiwa bei ya line za tigo pesa, m-pesa na airtel money kama ukienda kununulia makao makuu yao. Natanguliza shukrani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biashara ya tofali vp
Haziuzwi ila unachohitajika ni kuwa na mtaji....kama utanunua kihalali ila kimtaani ndio unapigwa....
Mtaji ni ka 1M....
Jamani, mi najua kuna laini za TIGO, AITEL & VODACOM na ndo tulizo nazo sisi, sasa hizi za TIGO PESA sijui M-PESA mara AIRTEL MONEY, Endelea kuulizia......
Kweli mbongo atabaki kama mkia siku zote, so we unadhani mi ni mashine sio? hata mashine yenyewe hukosea, funguka sema shida yako nyingine, au nikupe mtihani wa kiswahili tuone kama hauta ondoka na boli. Acha ushamba changamka kuwa muelewa ok?