Bei ya Mafuta ya kupikia bado iko juu sana

Bei ya Mafuta ya kupikia bado iko juu sana

pnuckle

New Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
1
Reaction score
3
Jana nimenunua mafuta ya kupikia hapa Ubungo - River Side.

KORIE dumu la lita 20, shillingi 79,000/=. Hayo mafuta yaliyoingia bandarini ya kutosha matumizi ya miezi sita yako wapi? Au ni wafanyabiashara wakubwa wameficha mzigo ili bei iendelee kuwa juu?

Prof Kitila mkumbo na naibu wake si walisema mzigo wa kutosha unapakuliwa bandarini, mbona bei hazishuki hata 100?

Mawazo yenu Members.
 
Katika taarifa yahabari ITV jana usiku waliripoti kuwa BEI YA MAFUTA YA KUPIKIA YASHUKA IRINGA hii inatokana na kuanza kwa msimu wa mavuno wa Alizeti ghafi ambayo imefanya bei yamafuta hayo kushuka toka 130k hadi 70k kwa ndoo ya lita 20..
na lita moja inauzwa 4000/=
Binafsi natumai ndani ya mwezi huu mafuta yakupikia yatashuka kidogo katika mikoa mingi kama siyote mana tutakuwa hatutegemie hayo yakutoka nje tu
 
Mafuta ya alizet yameshuka bei now ni 4000 kwa lita kwenye mashine za kukamua
 
Kuleni michemsho msimsumbue "mama"... kazi iendelee🤸🤣🐒
 
Jana nimenunua mafuta ya kupikia hapa Ubungo - River Side.

KORIE dumu la lita 20, shillingi 79,000/=. Hayo mafuta yaliyoingia bandarini ya kutosha matumizi ya miezi sita yako wapi? Au ni wafanyabiashara wakubwa wameficha mzigo ili bei iendelee kuwa juu?

Prof Kitila mkumbo na naibu wake si walisema mzigo wa kutosha unapakuliwa bandarini, mbona bei hazishuki hata 100?

Mawazo yenu Members.
Njoo nikuuzie ya kitimoto 40,000/= kwa Lita 20 !!
 
Tanzania ina ardhi ya kutosha, hivi tumeshindwa kulima chikichi, karanga au alzeti kama msalagabwa mikoa yote inayofaa kwa kilimo hiki ili tutokana na hili tatizo kabisa!!
 
Upo sahihi kabisa mkuu! Mi nashangaa uzi za maana kama hizi ambazo watu wanatakiwa waungane wapaze sauti hawana muda, nadiriki kusema watanzania ni wajinga sana. Ingekuwa nchi nyingine,kupanda kwa mkate tu kunasababisha maandamano makubwa! Fikiria mafuta ya kula yanaigusa kila familia, na zaidi watu wengi sana wanajiajiri kupitia mafuta ya kula kama mtaji mkuu. Watu kama mama ntilie nchi nzima,mahoteli,wakaanga samaki, chips na biashara zingine kedekede! Mi nilivyoona tumepata Rais mwanamke nikajua atajali vilio vya wamama wenzake waliojiajiri mamillion. Lakin mama yupo kimya anakula kiyoyozi tu ikulu
 
Upo sahihi kabisa mkuu! Mi nashangaa uzi za maana kama hizi ambazo watu wanatakiwa waungane wapaze sauti hawana muda, nadiriki kusema watanzania ni wajinga sana. Ingekuwa nchi nyingine,kupanda kwa mkate tu kunasababisha maandamano makubwa! Fikiria mafuta ya kula yanaigusa kila familia, na zaidi watu wengi sana wanajiajiri kupitia mafuta ya kula kama mtaji mkuu. Watu kama mama ntilie nchi nzima,mahoteli,wakaanga samaki, chips na biashara zingine kedekede! Mi nilivyoona tumepata Rais mwanamke nikajua atajali vilio vya wamama wenzake waliojiajiri mamillion. Lakin mama yupo kimya anakula kiyoyozi tu ikulu
Kupaza sauti ya nini? Hayo mafuta Ni kujitafutia tu maradhi , watu wale michemsho
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Jumong anakenua meno na kuwa busy na kuongea na wanawake pamoja na wazee wa CCM badala ya kuset direction ya Taifa.She is hopeless and cursed president.Huwezi kuwa na laana za Kayafa kisha ufanye la maana.Jumong ana laana za Kaka yake Kayafa,she is clueless!
 
Haya mafuta wanasema yapo lakini nini hakikyakishuka hayatarudi bei ya awali
 
Jumong anakenua meno na kuwa busy na kuongea na wanawake pamoja na wazee wa CCM badala ya kuset direction ya Taifa.She is hopeless and cursed president.Huwezi kuwa na laana za Kayafa kisha ufanye la maana.Jumong ana laana za Kaka yake Kayafa,she is clueless!
Laana tena
 
Laana tena.
Jumong alishirikiana na Kaka yake Kayafa katika kuteka,kuua,kutesa,ubaguzi wa rangi,ukabila,ukanda,ukandamizaji wa demokrasia,ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza na kadhalika kwa hiyo ana laana za Kaka yake.
 
Back
Top Bottom