Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
6500 per ltrSundrop beigani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
6500 per ltrSundrop beigani?
Mafuta ya alizet yameshuka bei now ni 4000 kwa lita kwenye mashine za kukamua
Lita moja tsh 7000
Ndoo ya lita 10 tsh 68000
Singida bei zikoje, ni aina gani?Agiza singida my dear
Singida bei zikoje, ni aina gani?
Kama ni ile alizeti yetu siipendagi kale kaharufu huwa kananikera.
Weka kikombe ki1 cha maji mix na hayo mafuta yako bandika jikoni..yatapiga keleleee ukiona yametulia kimya jua yameiva..unaweza tupia na hiliki..husikii tena harufu..hakikisha yametulia ndo yale maji yanakua yamekakamiASingida bei zikoje, ni aina gani?
Kama ni ile alizeti yetu siipendagi kale kaharufu huwa kananikera.
Oooh sawa, ahsante kuna jamaa anatokea Mwanza nitamuagiza, make hii bei ya sasa tunakoelekea ni kula michemsho chukuchukuShida siyo alizeti issue ni machine
Kuna sehemu wanachuja na kuchemsha (vinu vipo hivyo)
Hayo yanakuwa kama yanaelekea kwenye weupe
Kuna Yale wanakamua tu hayachemshwi Ndo yenye harufu
Mara ya mwisho bei ilifika 3,500 per lita
Aisee... akili za masaburiKupaza sauti ya nini? Hayo mafuta Ni kujitafutia tu maradhi , watu wale michemsho