Kusena
JF-Expert Member
- Aug 25, 2020
- 278
- 169
Mimi ni mwanachuo nimeamua kuanza kilimo ili baada ya kumaliza chuo niwe na mtaji wa kujiajiri. Nililima eka nne eka mbili zimefeli kutokana na changamoto za shambani na mtaji. Bado sijavuna maana nilichelewa kupanda. Bei ndio masikitiko. Ikipanda angalau 50 junia nipumue, angalau niiludishe mtaji msimu ujao nijipange upya