Typical
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 682
- 632
Malawi na Zambia wamepigwa na ukame msimu huu. So hawajapata mahindi ya kutosha. So wameshaanza kuhaha kutafutisha mahindi Tanzania. Bei itapanda.
Pia muda mzuri wa kuuza mahindi ni kati ya mwezi wa 12 na mwezi wa 1 kwenda wa 2. Hapo bei ndo huwa inapanda sana juu Tanzania.
Pia muda mzuri wa kuuza mahindi ni kati ya mwezi wa 12 na mwezi wa 1 kwenda wa 2. Hapo bei ndo huwa inapanda sana juu Tanzania.