Okay mkuu naomba nikuulize, mfano umeitwa na kamati ya bunge useme bei halali, unapendekeza gunia la mahindi liuzwe kiasi gani? [emoji848]Mkuu kilimo cha zao hili ni ngumu kwa sababu hii
1. kwanza uandaa shamba
2.Ulime jembe la kwanza
3. Jembe la pili la kupandia
4. Bei ya mbegu bei iko juu.
5. Yakishaanza kuota, kanitangazi anaanza kufanya yake
6. Unanunua dawa, unaanza kuweka vibarua wa kupia hiyo dawa
7. Unaanza palizi la kwanza na la pili.
8. Unavuna, unaanza kuweka kwenye magunia.
ANAKUJA DALALI ANATAKA MAHINDI KWA 30,000 AU 40,000 KWA GUNIA
CC Tlaatlaah
Kama kweli ni chakula pekee wakulima wakiamua kulima kwaajili ya chakula kwaajili yao tu watu watakufa njaa Tz hii, Mahindi ni chakula pia ni biasharaMahindi sio biashara,ni chakula.
Hapo hujakutana na guguchawi la mahindi, haliskii dawaMkuu kilimo cha zao hili ni ngumu kwa sababu hii
1. kwanza uandaa shamba
2.Ulime jembe la kwanza
3. Jembe la pili la kupandia
4. Bei ya mbegu bei iko juu.
5. Yakishaanza kuota, kanitangazi anaanza kufanya yake
6. Unanunua dawa, unaanza kuweka vibarua wa kupia hiyo dawa
7. Unaanza palizi la kwanza na la pili.
8. Unavuna, unaanza kuweka kwenye magunia.
ANAKUJA DALALI ANATAKA MAHINDI KWA 30,000 AU 40,000 KWA GUNIA
CC Tlaatlaah
Hiyo bei iko wapi mkuu.Kwa sasa kilo ya mahindi 850tshs
Hali mbaya mkuu hio ilikuwa bei ya mahindi ya msimu uliopita mapya hayasomekiHiyo bei iko wapi mkuu.
Kwa kuwa wewe una-access na mamlaka utusaidie, hii bei ya Mahindi ipande
Mkuu niko kijiji kimoja kinaitwa Mswaki iko Wilaya ya Kilindi....Mkuu uko Tanga maeneo gani? mm nalima Kabuku
Bei ya mahindi ishapanda saivi.Uko mbeya ndoo ya Lita 20 ni elfu 5000 hiyo gunia la debe 6 ni 30000 elfu
Shilingi mkoa wa songwe wilaya ya mombaBei ya mahindi ishapanda saivi.
Mkuu ngoja nikushauri kitu kidogo unaweza fata au ukaona inakuaje,, hapo usilime eka 4 lima eka 3 au 2 pekee kama haupo mwenyewe shambani eka hizo zinaweza kulinda mtaji na hela nyingine jiwekeze mdogo mdogo ila ukimaliza sasa ingia mwenyew field kapige kazi kweli kweli mkuu nina experience na hilo.Mimi ni mwanachuo nimeamua kuanza kilimo ili baada ya kumaliza chuo niwe na mtaji wa kujiajiri. Nililima eka nne eka mbili zimefeli kutokana na changamoto za shambani na mtaji. Bado sijavuna maana nilichelewa kupanda. Bei ndio masikitiko. Ikipanda angalau 50 junia nipumue, angalau niiludishe mtaji msimu ujao nijipange upya
Haitazidi 80k kwa gunia la debe 6! Kila kona ya nchi kuna mahindi ya kutosha! Tuombe Rais afungue mipaka kwa wanunuzi wa nje!Wakuu Habari?
Katika Harakati za Kuongeza kipato Huu ni mwaka wa pili sasa Nimeingia kwenye kilimo Cha mahindi huku Ukanda wa Kusini mwa Tanzania.
Lakini Kuna Jambo Naliona Zao hili lina Ukiritimba mwingi hasa kwenye Bei Nafikiri ndo maana Wakulima wengi wa Mahindi ni masikini Maan unalima Uhakika wa bei Uko Gizani. Kwa wajuzi na wafuatiliaji Je mwaka huu Bei ya Mahindi Itakuwaje!?
Je, Wanaosema itapanda kisa uchaguzi Kuna uhakika? Naomba tafadhali Mwenye uzoefu Atuibie Taarifa za mwelekeo wa Hili zao
Je, Bei inaweza kuwa kiasi gani kwa Kg?
Nawasilisha