Mkuu ngoja nikushauri kitu kidogo unaweza fata au ukaona inakuaje,, hapo usilime eka 4 lima eka 3 au 2 pekee kama haupo mwenyewe shambani eka hizo zinaweza kulinda mtaji na hela nyingine jiwekeze mdogo mdogo ila ukimaliza sasa ingia mwenyew field kapige kazi kweli kweli mkuu nina experience na hilo.