Bei ya Mahindi 2024 itamnyanyua au itamnyanyasa Mkulima?

Malawi na Zambia wamepigwa na ukame msimu huu. So hawajapata mahindi ya kutosha. So wameshaanza kuhaha kutafutisha mahindi Tanzania. Bei itapanda.

Pia muda mzuri wa kuuza mahindi ni kati ya mwezi wa 12 na mwezi wa 1 kwenda wa 2. Hapo bei ndo huwa inapanda sana juu Tanzania.
 

Attachments

  • IMG_8204.jpeg
    455.9 KB · Views: 21
Nimekupata kaka mkubwa, nitalima eka 2 ama 3 za mahindi. Msimu wa 2025/26 naingia mwenyewe kazini. Nategemea kilimo kitanitoa, mdogomdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…