Mkuu mazao ya biashara unamanisha nini?Pole mkuu, limeni mazao ya biashara, achaneni na mazao ya chakula.
Karanga vpZao la biashara kwa huku labda katani(mkonge) tatizo mtaji sasa
Hifazi mkuu,njaa Haina baunsa yakipanda hata laki watu tutanunua!Wakuu nimeamini sisi wakulima wadogo wadogo hatutokaa tupate utajiri kupitia kilimo kamwe,
Nimeshangaa bei za mahindi kwa huku Handeni mpaka sahivi eti gunia ni 35000 ukizingatia mahindi ya mwaka yanaiva kwahiyo mpaka kufikia mwezi wa 6 mwishoni mpaka wa saba watu watakuwa wanavuna.
Sasa je kama sahv gunia ni bei hiyo inamana kufikia mavuno bei itashuka mpaka 25000 kwa 20000 gunia?
Wakulima tuna moyo sana MUNGU atusaidie tu
Debe ngapi mkuu?Huku Sumbawanga mahindi ni 40000
Mazao ya Kisiasa, Mazao yanayo limwa na kila mtu hapa Tanzania, Binafisi Mahindi hunilimishi. Au lima lishia mifugo yako na faida utaionea kwenye mifugo yake.Wakuu nimeamini sisi wakulima wadogo wadogo hatutokaa tupate utajiri kupitia kilimo kamwe,
Nimeshangaa bei za mahindi kwa huku Handeni mpaka sahivi eti gunia ni 35000 ukizingatia mahindi ya mwaka yanaiva kwahiyo mpaka kufikia mwezi wa 6 mwishoni mpaka wa saba watu watakuwa wanavuna.
Sasa je kama sahv gunia ni bei hiyo inamana kufikia mavuno bei itashuka mpaka 25000 kwa 20000 gunia?
Wakulima tuna moyo sana MUNGU atusaidie tu
Mswaki kabla ya Kwinji.Kilindi, Songe ama?
Soko halipo hivyo!Mzilankende Wakati Wake Alisema Mkulima Auze Bei Anayoitaka Yeye
SahihiSoko halipo hivyo!