Bei ya mahindi Handeni zinashangaza

Bei ya mahindi Handeni zinashangaza

Mkuu,mm sio mkulima.Ila naomba kujua gharama za kulima mpaka kuvuna gunia moja ni bei ngp kwa huko Handeni?Je Kwa hiyo bei mkulima anapata hasara au anapata faida kidogo?Je bei nzuri kwa mkulima ni bei ngp?
 
Wakuu nimeamini sisi wakulima wadogo wadogo hatutokaa tupate utajiri kupitia kilimo kamwe,

Nimeshangaa bei za mahindi kwa huku Handeni mpaka sahivi eti gunia ni 35000 ukizingatia mahindi ya mwaka yanaiva kwahiyo mpaka kufikia mwezi wa 6 mwishoni mpaka wa saba watu watakuwa wanavuna.

Sasa je kama sahv gunia ni bei hiyo inamana kufikia mavuno bei itashuka mpaka 25000 kwa 20000 gunia?

Wakulima tuna moyo sana MUNGU atusaidie tu
Kwanza Kwa nature ya mkulima mdogo hakuna namna atakuja kufaudika na Kwa tafsiri yangu mkulima mdogo ni yule analima ekari 10 kushuka chini.

Huwezi Toka Kwa sababu unalika.eneo dogo na Tija ndogo na mwisho Kila matumizi Yako unategemea hapo hapo so unalazimika kuuza Kwa bei hiyo maana huwezi Hifadhi gunia 20,au 150 Hadi kisimu 2.

Mkulima wa kati analima ekari 10-100 na mkulima mkubwa ni kuanzia ekari 100 na kuendelea.

Mwisho Serikali imesema subirieni itaanza kununua tarehe 15 July ila kama hamuwezi uzeni hivyo hivyo.

Mwisho sad news ni kwamba Serikali haitaruhusu mazao kutoka Nje Kwa Sasa Hadi Uchaguzi uishe maana wanaogopa Makelele ya watu wa Mjini.

Njia pekee ni nyie wakulima wadogo kuungana na kuwa na voting power na sauti kama kule India nk Ili kukabiliana na watu wa Mjini ambao Wanatetewa na Serikali.
 
Gwallo habari, hapo kilindi mashamba yanakodishwa bei gani mkuu
Mazingira ya Kilindi bado sijayafahamu sana ila Kwediboma, na Kibrashi nasikia mashamba ya kukodi yapo ila sijui bei.
 
Wakuu nimeamini sisi wakulima wadogo wadogo hatutokaa tupate utajiri kupitia kilimo kamwe,

Nimeshangaa bei za mahindi kwa huku Handeni mpaka sahivi eti gunia ni 35000 ukizingatia mahindi ya mwaka yanaiva

kwahiyo mpaka kufikia mwezi wa 6 mwishoni mpaka wa saba watu watakuwa wanavuna.

Sasa je kama sahv gunia ni bei hiyo inamana kufikia mavuno bei itashuka mpaka 25000 kwa 20000 gunia?

Wakulima tuna moyo sana MUNGU atusaidie tu
Mbona Kiteto mwaka 2021 bei ya gunia la mahindi lilikuwa Sh 25,000/=. Unashangaa Nini Sasa
 
Gharama za kuhifadhi ayo mazao n kubwa kuna cost zina ingia
Fumigation
Storage costs
Security cost
Kwa mkulima wa kawaida ataweza mudu hizo gharama?


Watu wawe creative, sasa badala ya kuweka nguvu na mitaji kwenye kilimo, jaribuni kuwekeza kwenye maghala/storage za kisasa, unanunua wakati wa mavuno bei ya bure unahifadhi then unakuja kuuza kiangazi au bei zikiwa juu
 
Gharama za kuhifadhi ayo mazao n kubwa kuna cost zina ingia
Fumigation
Storage costs
Security cost
Kwa mkulima wa kawaida ataweza mudu hizo gharama?
Well, ni swala la kama kuna faida, kama ipo utajipanga tuu and no excuses, dunia ngumu hii
 
Wakuu nimeamini sisi wakulima wadogo wadogo hatutokaa tupate utajiri kupitia kilimo kamwe,

Nimeshangaa bei za mahindi kwa huku Handeni mpaka sahivi eti gunia ni 35000 ukizingatia mahindi ya mwaka yanaiva kwahiyo mpaka kufikia mwezi wa 6 mwishoni mpaka wa saba watu watakuwa wanavuna.

Sasa je kama sahv gunia ni bei hiyo inamana kufikia mavuno bei itashuka mpaka 25000 kwa 20000 gunia?

Wakulima tuna moyo sana MUNGU atusaidie tu
mkuu morogoro sasa lipo 90,000/=
 
Wakuu nimeamini sisi wakulima wadogo wadogo hatutokaa tupate utajiri kupitia kilimo kamwe,

Nimeshangaa bei za mahindi kwa huku Handeni mpaka sahivi eti gunia ni 35000 ukizingatia mahindi ya mwaka yanaiva kwahiyo mpaka kufikia mwezi wa 6 mwishoni mpaka wa saba watu watakuwa wanavuna.

Sasa je kama sahv gunia ni bei hiyo inamana kufikia mavuno bei itashuka mpaka 25000 kwa 20000 gunia?

Wakulima tuna moyo sana MUNGU atusaidie tu
Umelazimishwa uuze?
 
Umelazimishwa uuze?
Mkuu anaongelea bei kua ni ndogo,moja ya sababu inayofanya mkulima auze mahindi,ni mahitaji yanayokua yanamkabili,usidhani mtu anauza tu kisa labda KALAZIMISHWA.
 
Mwenye kuhitaji mahindi/Maharage soya ya njano Arusha, na atakayenishawishi kwa kunipa bei nzuri, anicheki PM nimuuzie. Nina gunia 30, na maharage Soya ya njano Gunia 12.......
 
Mwenye kuhitaji mahindi/Maharage soya ya njano Arusha, na atakayenishawishi kwa kunipa bei nzuri, anicheki PM nimuuzie. Nina gunia 30, na maharage Soya ya njano Gunia 12.......
Ungeweka bei kabisa.
 
Mwenye kuhitaji mahindi/Maharage soya ya njano Arusha, na atakayenishawishi kwa kunipa bei nzuri, anicheki PM nimuuzie. Nina gunia 30, na maharage Soya ya njano Gunia 12.......
Weka bei acha longolongo
 
Back
Top Bottom