Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mikoa gani hiyo kwa bei hiyo? kwa kuwa soko linaonekana mahindi mwaka huu sio mengi kama mwaka jana kwa miji kama dodoma bei ya chini inasimamia 6000 debeZa jioni wandugu, naomba tushirikiane kuwaonea huruma wakulima mazao yanashuka bei ilhali pembejeo bei iko juu. Mliokaribu na wanasiasa washitueni 2020 sio mbali
Bado kwa mkulima hailipi hata Nusu ya gharama niliyotumia....ip
mikoa gani hiyo kwa bei hiyo? kwa kuwa soko linaonekana mahindi mwaka huu sio mengi kama mwaka jana kwa miji kama dodoma bei ya chini inasimamia 6000 debe
Huna akili hata mojaMKUU SISI KIPAUMBELE CHETU NI KUJENGA MIUNDO MBINU PAMOJA NA KUFUFUA MASHIRIKA YA NDEGE.
Pia kingine tumejikita zaidi kuharibu upinzani na kuwanunua pia.Mahindi wapeni mifugo wale
Mkulima umemuwazia ?!Kama bei ya chakula inashuka bei ni jambo zuri sana.
Wanasema kushuka kwa bei ya vyakula ndio kushuka kwa mfumuko wa bei. Kwa hiyo mpaka Desemba mfumuko wa bei utakuwa 0.Za jioni wandugu, naomba tushirikiane kuwaonea huruma wakulima mazao yanashuka bei ilhali pembejeo bei iko juu. Mliokaribu na wanasiasa washitueni 2020 sio mbali
Kwa Dar gunia sh ngapi? Nataka gunia tano wakuu za kulaZa jioni wandugu, naomba tushirikiane kuwaonea huruma wakulima mazao yanashuka bei ilhali pembejeo bei iko juu. Mliokaribu na wanasiasa washitueni 2020 sio mbali